Simba kusaka heshima Kaitaba leo
![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNZJhdsJRTUQo4j4iEUd*McmO4RgisPq3efOW9XW2vLraNPZvSDWeBqN5y-uzll7c6ZI5stWu4a5NXBKIiafPhF0/simba.jpg?width=650)
Kikosi cha Simba SC kikijiandaa siku ya jana kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kucheza leo dhidi ya Kagera Sugar. Na Ibrahim Mussa HATUA ya lala-salama ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi mbili ambapo Kagera Sugar itaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Mechi nyingine itakuwa kati ya Mbeya City ambayo itakuwa mgeni wa Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Yanga, Azam kusaka heshima
10 years ago
GPLYANGA SC YAPIGWA NA KAGERA SUGAR KAITABA LEO
10 years ago
Michuzi07 Dec
mashindano ya biblia yafanyika uwanja wa kaitaba leo mjini Bukoba
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-Vzd0bdA56Aw%2FVIQaSA9tziI%2FAAAAAAAAYcw%2FCMRTMBGTM78%2Fs1600%2F10576868_783456471702504_1244433619_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PJ85noR32U%2FVIQaYXaSK9I%2FAAAAAAAAYdY%2F0UXMvsQJAr0%2Fs1600%2F10844541_783456441702507_707133171_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
MichuziUWANJA WA KAITABA BUKOBA WAANZA KUWEKWA NYASI RASMI LEO.
Uwanja wa Kaitaba Bukoba Umeanza kuwekwa nyasi bandia rasmi leo hii jumatatu 2 Novemba, 2015 na kutokana na maelezo ya wawekaji wamesema utachukuwa muda wa siku 14 tu.
Wakaazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake sasa kuanza kushuhudia kipute live bila Chenga katika Uwanja huo wa Kaitaba. Timu ya Kagera Sugar nayo inatarajiwa kurudi katika Uwanja huo ambao uutumia kama Uwanja huo ambapo mpaka sasa tangu msimu uliopita wamekuwa wakitumia Viwanja vingine kwa michezo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnQ4mZoU3GZR5Hz4XN48HkNNqOb6Mz68b*8YO*JOiad1SrPkgnp583Lzq4XbaTrS*KV7njZ2fQegntOrsq3gcYu/33.jpg?width=650)
YANGA, SIMBA HESHIMA
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Simba, Yanga heshima
WATANI wa jadi wa soka la Tanzania, Simba na Yanga, jana walitunziana heshima baada ya kufunga msimu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa sare ya bao 1-1 katika...