Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA, SIMBA HESHIMA

Mrisho Ngasa. Na Khadija Mngwai
LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kufikia tamati kesho Jumamosi kwa timu zote 14 kushuka uwanjani, gumzo la mechi ya Yanga dhidi ya Simba limeendelea kuwa kubwa licha ya kuwa matokeo ya mechi hiyo hayawezi kubadili chochote katika msimamo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, Yanga heshima

WATANI wa jadi wa soka la Tanzania, Simba na Yanga, jana  walitunziana heshima baada ya kufunga msimu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa sare ya bao 1-1 katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mtanzania

Phiri kurudisha heshima Simba

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA JENNIFER ULLEMBO

KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.

Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.

Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...

 

11 years ago

Dewji Blog

Simba, Coastal Union zatunziana heshima

MESSI

Karate, au soka? Kiungo wa Simba SC, Ramadhani SIngano ‘Messi’ katikati ya wachezaji wa Coastal, Sabri Rashid kulia na Ayoub Yahya katika mchezo wa leo.(Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog).

Na MOblog Team

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba,  walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuwatandika Coastal Union ya Tanga mabao 2-0 katika mechi ya kuvutia iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jinini Dar es Salaam.

Mechi hiyo ya kukamilisha raundi ya kwanza ya ligi hiyo iliyoanza juzi...

 

11 years ago

GPL

Simba kusaka heshima Kaitaba leo

Kikosi cha Simba SC kikijiandaa siku ya jana kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kucheza leo dhidi ya Kagera Sugar. Na Ibrahim Mussa
HATUA ya lala-salama ya mzunguko wa pili wa  Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi mbili ambapo Kagera Sugar itaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Mechi nyingine itakuwa kati ya Mbeya City ambayo itakuwa mgeni wa Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kusaka heshima

Baada ya kunyukwa wiki iliyopita Yanga na Azam leo watajiuliza upya mbele ya timu za Tanga, Mgambo Shooting na Coastal Union wakiwa katika viwango vya juu zaidi msimu huu.

 

5 years ago

Michuzi

MJUMBE WA YANGA APATA SHAHADA YA UZAMIVU (PHD) YA HESHIMA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Mjumbe wa Kudumu wa Klabu ya Yanga Thobias Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) na shirika la lead Impact la nchini Marekani.

Lingalangala amepatiwa shahada hiyo baada ya kujitoa na kuwasaidia jamii katika masuala mbalimbali ikiwemo kujenga mradi mkubwa wa maji unaohudumia wakazi wa Njombe.

Akizungumza baada ya kutunukiwa Shahada hiyo, Lingalangala amesema kuwa hakujua kama anaweza akapata shahada kutokana na kazi mbalimbali za kijamii...

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani