Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--YKSkRcFgqamhErNf*BLiZOU35TwP3bvlWDVeV8iu5kqF-HwoWjba6z2ARZzr*d-PMBw1WfbZGjcI8AHleQote/loga.jpg?width=650)
Logarusic: Tunatengeneza makali ya ligi kuu
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Yanga, Azam kusaka ufalme wa Ligi
*Simba yatafuta pa kutokea kwa Stand baada ya kipigo
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
VIGOGO wa soka nchini, Yanga na Azam FC, leo watashuka dimbani katika viwanja tofauti kuendeleza dozi ya vipigo katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, huku majeruhi, Simba wakisaka pointi muhimu zitakazorejesha heshima baada ya kipigo kutoka kwa watani wao wa jadi.
Vinara wa ligi hiyo, Yanga, wanafukuzana na Azam kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na pointi 12, baada ya kucheza mechi nne, lakini...
9 years ago
Mwananchi03 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Kagera Sugar, ni wakati wa kusaka pepo au moto
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12
![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ligi kuu Tanzania kuanza Septemba
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ligi kuu England kuanza kutimua vumbi
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJjw3GPHyVIC*ApGRxMIPqGBPvVFg6HZIKwYacdMPf9cHBjst0Yaupl6tk3zcRQSwR-qceH0bF4lDTt-I0aE*j4/azam.jpg?width=650)
Azam bingwa Ligi Kuu Bara