Yanga, Azam kusaka ufalme wa Ligi
*Simba yatafuta pa kutokea kwa Stand baada ya kipigo
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
VIGOGO wa soka nchini, Yanga na Azam FC, leo watashuka dimbani katika viwanja tofauti kuendeleza dozi ya vipigo katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, huku majeruhi, Simba wakisaka pointi muhimu zitakazorejesha heshima baada ya kipigo kutoka kwa watani wao wa jadi.
Vinara wa ligi hiyo, Yanga, wanafukuzana na Azam kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na pointi 12, baada ya kucheza mechi nne, lakini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Yanga, Azam kusaka heshima
10 years ago
Mwananchi08 Apr
LIGI KUU BARA: Yanga, Azam mshikemshike
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Simba, Azam zatofautiana na Yanga ratiba ligi Kuu
SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Uongozi wa Mabingwa wa ligi hiyo, Yanga umeibuka na kuipinga kwa madai kuwa haikuwatendea haki.
Ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 12 kwa michezo saba ya ufunguzi kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tibohora, alisema kuwa wao hawajaridhika na upangaji wa ratiba hiyo, na inaonyesha wazi nia yao ni kutaka wafanye vibaya msimu...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UHONDO WA LIGI KUU: Simba na kisasi, Yanga, Azam kasi
10 years ago
Mwananchi20 Feb
LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa
10 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Yanga wasusa Sh300 mil za udhamini wa Azam wa Ligi Kuu Bara