Nape: Makosa ya CCM yameinufaisha Ukawa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kilifanya makosa katika baadhi ya maeneo ambayo yamekigharimu na kusababisha wananchi kupiga kura za hasira kukiadhibu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Nape abeza Ukawa kuungana
10 years ago
Uhuru NewspaperNape awarushia kombora UKAWA
NA MWANDISHI WETUMCHAKATO wa Katiba Mpya umeendelea kutumika kama kichaka cha kuzuia vuguvugu la mabadiliko katika vyama vya upinzani nchini.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-GpYkN3Titjg/U84AubOpSdI/AAAAAAAABZ4/gvMy_LeS2No/s72-c/1.+Nape+akihutubia+mkutano+wa+kampeni+a+uchaguzi+mdogo+wa+Udiwani+Kata+ya+Bugarama,+Kahama+mkoani+Shinyanga.jpg)
Nape: UKAWA inafanya uzushi
Asema Tume ya Katiba haikuwa ya mwisho Awataja pia Mbowe, Tundu Lissu na Jussa
Na Charles Charles
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetaka wananchi kujihadhari na uzushi, uongo na upotoshaji unaofanywa na genge linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kutaka mchakato wa Katiba mpya ukwame.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema genge hilo linafanya hivyo kutokana na uchu wa madaraka walionao viongozi...
10 years ago
Habarileo26 Nov
Nape awajia juu wanaoshabikia Ukawa
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema watanzania wachache wanaoendelea kuwaunga mkono wanaharakati wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanapoteza muda wao.
10 years ago
Habarileo12 Oct
Nape awapongeza Ukawa kuikubali Katiba
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM , Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amepongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kwa kuikubali na kuitambua Katiba inayopendekezwa.
9 years ago
TheCitizen14 Sep
‘Rifts in Ukawa’ has simplified things for us : Nape
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Nape: CHADEMA wanatumia UKAWA kuficha migogoro
Na Bashir Nkoromo
KATIBU wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amefichua siri ya viongozi wa juu wa CHADEMA kujificha nyuma ya kivuli cha Kundi la Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Amesema CHADEMA kinakabiliwa na migogoro mizito inayotokana na uchu wa madaraka na kwamba hatua ya kukumbatia UKAWA ni kuwapumbaza wanachama wake.
Alisema sio kweli kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, wana nia na dhamira ya dhati ya muungano huo ili kusaidia...
11 years ago
Michuzi19 May
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s72-c/1.jpg)
wanachokifanya UKAWA ni Usanii usiokuwa na tija kwa Taifa - Nape
![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s1600/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.
CCM yawaomba wabunge...