Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape awapongeza Ukawa kuikubali Katiba

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM , Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amepongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kwa kuikubali na kuitambua Katiba inayopendekezwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nape awapongeza Dk. Slaa, Lipumba

napeNA EVANS MAGEGE

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, amewafananisha viongozi waliokihama chama hicho na oili chafu.

Pia aliwapongeza aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu ‘aliyepumzishwa’ wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kuwa wamejitambua kisiasa kwa kujitenga na oili hiyo inayomiminwa ndani ya injini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Mwamalanga awapongeza UKAWA

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste Tanzania, William Mwamalanga, amewapongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa kuondoka bungeni huku akisema wajumbe walibaki wanaendesha ‘bunge la...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Nape awarushia kombora UKAWA



NA MWANDISHI WETUMCHAKATO wa Katiba Mpya umeendelea kutumika kama kichaka cha kuzuia vuguvugu la mabadiliko katika vyama vya upinzani nchini. Vyama vingi vya upinzani vikiwemo vinavyojinadi kuwa ndio vikubwa, vimekuwa kwenye migogoro mikubwa inayotokana na ubaguzi, matumizi mabaya ya madaraka na kugombea ruzuku. Pia vyama vingine ikiwemo CHADEMA ambacho kimegubikwa na migogoro mizito ikiwemo ya kuwania madaraka na ufujaji wa fedha za ruzuku, huku baadhi ya viongozi wake wakitimuliwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Nape abeza Ukawa kuungana

Siku moja baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais na ubunge majimboni, CCM kimebeza hatua hiyo kikisema viongozi hao hawawezi kukaa zizi moja.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Nape: UKAWA inafanya uzushi



Asema Tume ya Katiba haikuwa ya mwisho Awataja pia Mbowe, Tundu Lissu na Jussa
Na Charles Charles
 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetaka wananchi kujihadhari na uzushi, uongo na upotoshaji unaofanywa na genge linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kutaka mchakato wa Katiba mpya ukwame.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema genge hilo linafanya hivyo kutokana na uchu wa madaraka walionao viongozi...

 

9 years ago

Mwananchi

Pongezi JK kuikubali Mahakama ya ICC

Katika hali isiyotarajiwa mwishoni mwa wiki, Rais Jakaya Kikwete alitoa kauli ya kuiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), iliyoko The Hague, nchini Uholanzi na kuwatahadharisha viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), kwamba kuendelea kuonyesha chuki na kuishambulia mahakama hiyo kutatoa picha mbele ya jumuiya ya kimataifa kwamba viongozi wa Afrika wanataka kuongoza nchi zao bila kuwajibika wala kufuata utawala wa sheria

 

10 years ago

Habarileo

Nape awajia juu wanaoshabikia Ukawa

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema watanzania wachache wanaoendelea kuwaunga mkono wanaharakati wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wanapoteza muda wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: Makosa ya CCM yameinufaisha Ukawa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kilifanya makosa katika baadhi ya maeneo ambayo yamekigharimu na kusababisha wananchi kupiga kura za hasira kukiadhibu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

9 years ago

TheCitizen

‘Rifts in Ukawa’ has simplified things for us : Nape

CCM ldeology and Publicity Secretary Nape Nnauye has said the opposition will be badly defeated and even wiped out in Lindi Region after the October 25 polls.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani