Askofu Mwamalanga awapongeza UKAWA
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste Tanzania, William Mwamalanga, amewapongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa kuondoka bungeni huku akisema wajumbe walibaki wanaendesha ‘bunge la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Oct
Nape awapongeza Ukawa kuikubali Katiba
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM , Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amepongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kwa kuikubali na kuitambua Katiba inayopendekezwa.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Askofu awashauri UKAWA
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Endtime Havest, Dk Elia Mauza amewataka viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutorudi katika Bunge Maalum la Katiba hadi maoni ya wananchi yatakapoheshimiwa....
11 years ago
Habarileo21 May
Ukawa wamponza Askofu Kakobe
USHIRIKA wa wachungaji wa Kipentekoste nchini (PPFT) umemtaka Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zakaria Kakobe, kuacha tabia ya kutumia mwavuli wa dini kuhubiri chuki na uchochezi kwa wananchi.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Askofu: Ukawa rudini bungeni
KANISA Katoliki Tanzania limetoa tamko zito kuhusu mchakato wa Katiba unaoendelea, matukio yanayoashiria uchochezi wa dini na Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika mwaka kesho.
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Mwamalanga awaonya wanaotangaza nia
VIONGOZI wa vyama vya siasa wanaotangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2015 wametakiwa kupima uwezo wao wa kukabiliana na matatizo ya jamii. Matatizo hayo ni uporaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Askofu ataka UKAWA warudi bungeni
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...
11 years ago
Michuzi20 Apr
ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na Francis Godwin, Iringa
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...