Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwamalanga awaonya wanaotangaza nia

VIONGOZI wa vyama vya siasa wanaotangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2015 wametakiwa kupima uwezo wao wa kukabiliana na matatizo ya jamii. Matatizo hayo ni uporaji wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CCM kuwahoji wanachama wanaotangaza nia kiaina

Philip MangulaKUTOKANA na kushamiri kwa kile kinachoonekana kampeni za chini kwa chini kuelekea katika chaguzi zijazo nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatarajia kuwaita na kuwahoji baadhi ya wanachama wake wanaokiuka kanuni na maadili ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya muda unaoruhusiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Nape asema wanaotangaza nia wamepoteza sifa

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema mwanachama yeyote anayetangaza nia ya kuwania nafasi ya urais kabla ya muda mwafaka kutangazwa, anapoteza sifa ya kuwa mgombea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM imechelewa kuchukua hatua kwa wanaotangaza nia

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinataka kutuaminisha leo hii kuwa kina uwezo wa kuwadhibiti watu wanaotumia hila, ghilIba, kutenda kinyume na kanuni na taratibu za chama katika kuusaka uongozi ndani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Mwamalanga awapongeza UKAWA

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste Tanzania, William Mwamalanga, amewapongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa kuondoka bungeni huku akisema wajumbe walibaki wanaendesha ‘bunge la...

 

11 years ago

GPL

MABALOZI WANAOTANGAZA UTALII WA TANZANIA NCHINI MAREKANI WAZAWADIWA

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia, Mhe. January Makamba akiongea machache kuwashukuru Mabalozi wa Utalii wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumatano, Dec 11, 2013 kwenye Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani siku Bodi ya Utalii ilipotoa tuzo kwa mabalozi hao wanaotangaza Utalii wa Tanzania nchini Marekani. Balozi wa Tanzania… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kona ya Makengeza: Tanza-nia isiwe Tanzia-nia

Jana nilipokuwa nakaa kwenye foleni za maendeleo hapa Bongo na kuangalia full mchepuko wa watu kama kawaida, nikaanza kujiuliza huko makao makuu pasipo na makazi makuu hakuna foleni? Maana wenye nia ni wengi, na wafuasi wao ni wengi, na wapambe wao ni wengi, hakuna foleni kweli huko?

 

11 years ago

Habarileo

RC awaonya wafugaji

SERIKALI mkoani hapa imeazimia kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yeyote atakayekiuka utaratibu wa kisheria wa kutaka kuhamia katika maeneo ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya ufugaji. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro alitoa msisitizo huo alipokuwa kwenye ziara ya kikazi wilayani Chunya, ambapo aliitaja wilaya hiyo kuwa miongoni mwa wilaya zilizokithiri kwa maeneo yake kuvamiwa na wafugaji wanaohamia bila kufuata utaratibu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lukuvi awaonya wafanyabiashara

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),William Lukuvi, amewakemea baadhi ya wafanyabiashara kuacha kutumia jina lake na kuvamia maeneo ya watu kwa nia ya kudhulumu maeneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage awaonya wanachama

MWENYEKITI wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, amewaonya wanachama kuwa makini kuelekea uchaguzi mkuu, kwani kitendo cha kupandikiza maneno kwa Mgombea wa Urais Michael Wambura kitaharibu mchakato mzima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani