Nape asema wanaotangaza nia wamepoteza sifa
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema mwanachama yeyote anayetangaza nia ya kuwania nafasi ya urais kabla ya muda mwafaka kutangazwa, anapoteza sifa ya kuwa mgombea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Mwamalanga awaonya wanaotangaza nia
VIONGOZI wa vyama vya siasa wanaotangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2015 wametakiwa kupima uwezo wao wa kukabiliana na matatizo ya jamii. Matatizo hayo ni uporaji wa...
11 years ago
Habarileo04 Jan
CCM kuwahoji wanachama wanaotangaza nia kiaina
KUTOKANA na kushamiri kwa kile kinachoonekana kampeni za chini kwa chini kuelekea katika chaguzi zijazo nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatarajia kuwaita na kuwahoji baadhi ya wanachama wake wanaokiuka kanuni na maadili ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya muda unaoruhusiwa.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
CCM imechelewa kuchukua hatua kwa wanaotangaza nia
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinataka kutuaminisha leo hii kuwa kina uwezo wa kuwadhibiti watu wanaotumia hila, ghilIba, kutenda kinyume na kanuni na taratibu za chama katika kuusaka uongozi ndani ya...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G99kNSJ-_6s/U8ym639blGI/AAAAAAAAPlc/Kezo0iMPTpU/s72-c/1.jpg)
NAPE : CCM HAIKATAZI MWANACHAMA WAKE KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA UONGOZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-G99kNSJ-_6s/U8ym639blGI/AAAAAAAAPlc/Kezo0iMPTpU/s1600/1.jpg)
Nape alisema taratibu za kugombea Uongozi ndani ya chama zipo na kuna Kanuni mbili, moja ni ya Kanuni za Viongozi na Maadili na pili Kanuni zinazosimamia Uchaguzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PZwJscHtDfk/VPn68XdPE8I/AAAAAAAAXk0/lyIMCRQ_zfQ/s72-c/1.jpg)
KINANA ASEMA UADILIFU NDIO SIFA NAMBA MOJA YA KIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-PZwJscHtDfk/VPn68XdPE8I/AAAAAAAAXk0/lyIMCRQ_zfQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HKv_Gxr_1Zw/VPn670x0abI/AAAAAAAAXks/_SGC-nAj12Q/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sECUcqfCx_o/VPn68z8wYmI/AAAAAAAAXk4/mlp_1tchIwo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Habarileo21 Jun
Warioba asema watangaza nia waache kujitangazia uadilifu
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Jaji Joseph Warioba ametaka watangaza nia kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao, kuacha kusema wao ni waadilifu, badala yake wasubiri wananchi waseme kwa kuwa wanawafahamu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vwQaXT35C*P--XRJ7a*1AADFMPcrS6js14UPfok8PYIQupk1x9pbdvsu3jIXX7Mh3VI*6mm1ai3Q33Nraea5Ri/MAKONGORO.jpg?width=650)
MAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA
10 years ago
Vijimambo21 Jul
Nape asema CCM imezuia mafuriko kwa mikono.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-21july2015.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejigamba kwamba kimeweza kuzuia ‘mafuriko’ kwa mikono huku kikiwatakia kila la kheri baadhi ya makada wake waliotangaza kutogombea kupitia chama hicho pamoja na wale waliokihama na wanaotaka kukihama.
Mwishoni mwa wiki iliyopita waliokuwa madiwani jimbo la Monduli kupitia CCM mkoani Arusha, walitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli...