CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA ILI KUFANIKISHA ZOEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-DnDGCL7q9gk/VbjOGRhI6eI/AAAAAAAC9EA/tZ86Goq07Xw/s72-c/8.jpg)
Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam Ndugu Juma Hamis 'Gadafi' akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye hotel ya Peacock jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wanahabari wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakielezwa na Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam Ndugu Juma Hamis 'Gadafi' alipozungumza nao mapema leo mchana kwenye hotel ya Peacock jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s72-c/1.jpg)
CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA PAMOJA NA RASILIMALI WATU ILI KURAHISISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s640/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu ili wananchi wengi waweze kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura bila usumbufu.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Bw. Juma Simba Gadafi alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s72-c/IMG_3708.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKAMILISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU MKOA WA DAR ES SALAAM KWA MAFANIKIO MAKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s640/IMG_3708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-V5wLRk9hvls/VcI6EUuHLoI/AAAAAAABkMk/yhAYfkHlV08/s640/IMG_3709.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gkuUimr60cM/VcI6LlpTGmI/AAAAAAABkM0/gPcQ1LciMFQ/s640/IMG_3710.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s72-c/tume3.jpeg)
NEC YAKUTANA NA UONGOZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM KUTATHIMINI ZOEZI ZIMA LA UANDIKISHWAJI BVR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s640/tume3.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_hJliOxE69Y/Vbjg2tttTqI/AAAAAAAABLU/yzkxay8yh24/s640/tume4.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cypzNLQRlIE/XnUqlk_dPoI/AAAAAAALkkY/dYLLbLyZa8UIVGH2RdzCcWHugC6OKOBfACLcBGAsYHQ/s72-c/5f6f350f-c6c9-4cf1-a53b-29ecc7183cab.jpg)
CHINA KUFADHILI VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA MKOA WA DAR ES SALAAM
SERIKALI ya China kupitia ubalozi wake nchini utafadhili vifaa vya kupambana na virusi vya Corona (Covid 19) ikiwemo kutoa vifaa vya kupima virusi hivyo pamoja na kutoa vitakasa mikono (sanitizers) ambazo zitatolewa kwa wananchi wa hali ya chini ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya virusi hivyo vinavyosambaa katika maeneo mbalimbali duniani.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea kiwanda cha uzalishaji bidhaa binafsi ikiwemo...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER LEADERS CLUB LEO
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/9.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER, LEADERS CLUB LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rtDyklf-03c/VdDMNEausjI/AAAAAAAABXQ/DhM3oMcakTs/s72-c/DAR%2BWAAHIRISHA%2BUHAKIKI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_R3qJR-cmnw/VPh4QbR4GaI/AAAAAAABa6E/ezQGOHTCPk4/s72-c/DSC_0694.jpg)
WAFANYABIASHARA WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA KODI
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Dar es salaam (JWT), Philimon Chonde amesema suala la kupandishwa kwa kodi kwa asilimia mia moja limepitishwa kinyemela bila ya wao kuwashirikisha wala kujadiliana na wafanyabiashara hao.
Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Lamada Hotel jijini Dar es Salaam ukiwashirikisha wabunge, ameeleza kuwa mfumo wa kodi uliopo umekaa kikoloni kwani unawakandamiza wafanyabiashara ili waendelee kuwa ...