Samia ajitapa CCM kuumaliza mgogoro
Mgodi wa Kiwira uliokuwa na mgogoro kwa zaidi ya miaka 10 kati ya mwekezaji na Serikali, umepata mwekezaji mwingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s72-c/IMG_1570.jpg)
Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s1600/IMG_1570.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dOgyCVEL27o/VfalhQiRu5I/AAAAAAAADyo/rY8XXlFP0PI/s1600/IMG_1589.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s1600/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s1600/IMG_1054.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e8-Jqulrof9ERjnQxAsdNQ5cxpYsLsfOt9xglOIUFaT1LToOIdyB7lVLu*U3X7-qqQfYsfZ857BZnbFF4A52emb/Masogange.jpg)
MREMBO AJITAPA
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVn5nVQLGVLM9rjKxygtjZEcG*2oOTTRq7L0SwuRShyXMzudHcx88n4Hs3g2FPtu3NLJBM5zcLDfJk77dcTkx1K9/JB.jpg)
JB AJITAPA KUWA STRAIKA
9 years ago
Global Publishers01 Jan
9 years ago
Mwananchi11 Nov
KAKAKUONA: JK umeondoka bila kuumaliza mpasuko Zanzibar?
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
Ujumbe wa Lulu Tunapoelekea Kuumaliza Mwaka Huu
![Elizabeth Michael ‘Lulu’](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/lulu33-1.jpg)
Elizabeth Michael ‘Lulu’
Mwaka huu ulikuwa mzuri au mbaya Kwa kila mmoja wetu….Katika MAZURI SHUKURU Na hata katika MABAYA Na ya KUUMIZA pia MSHUKURU MUNGU.
Tunapoelekea Kumaliza mwaka hiyo tu ni sababu tosha ya kuonyesha ni jinsi gani Una thamani mbele ya Mungu wako wala hutakiwi Kuwaza nani anakuona nini.
Nimejifunza na Ninaamini Kuna Nguvu,Msamaha,Kuongezwa,Kuzidishwa,Kuponywa na Mengine mengi ndani ya SHUKRANI.
Elizabeth Michael ‘Lulu’ @elizabethmichaelofficial on...
9 years ago
Habarileo01 Sep
Samia: Wanawake ichagueni CCM
MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuipigia kampeni na kukichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kirudi madarakani. Samia alitoa mwito huo mjini Dodoma jana na kueleza kuwa wanawake ni nguzo muhimu kwa chama hicho, hivyo wanalo jukumu kubwa kuhakikisha CCM inashinda.
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda
William Malecela ‘Le Mutuz’
STORI: MWANDISHI WETU
NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi.
Mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’
Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Saba wa Tanzania...