MREMBO AJITAPA
![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e8-Jqulrof9ERjnQxAsdNQ5cxpYsLsfOt9xglOIUFaT1LToOIdyB7lVLu*U3X7-qqQfYsfZ857BZnbFF4A52emb/Masogange.jpg)
Imelda Mtema Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Flava, Tunda Sabasita amejitapa kumpora bwana muuza nyago mwenzie, Agness Gerald ‘Masogange’ na kusababisha wawili hao kuingia kwenye bifu zito.Sosi aliye karibu na wauza nyago hao alisema kuwa bifu walilonalo linamhusu bwana aliyetajwa kwa jina moja la Said ambaye makazi yake ni nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’. Muuza nyago kwenye video za wasanii...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVn5nVQLGVLM9rjKxygtjZEcG*2oOTTRq7L0SwuRShyXMzudHcx88n4Hs3g2FPtu3NLJBM5zcLDfJk77dcTkx1K9/JB.jpg)
JB AJITAPA KUWA STRAIKA
9 years ago
Bongo Movies29 Nov
Wolper Ajitapa Kukwapua Waume za Watu
MREMBO anayesukuma maisha yake kupitia sinema Bongo, Jacqueline Wolper amejitapa kuwa haoni tatizo kuchukua mume wa mtu kwani wanaoibiwa ni wadhaifu.
Akifafanua kauli yake, Wolper alisema, kumekuwa na malalamiko mengi ya mastaa wa kike kuhusu kuibiana mabwana kitu ambacho yeye anaamini kwamba kama ukiwa mbunifu huwezi kuibiwa, wanaoibiwa wasilalamike.
“Bibi eeeh acha waseme. Mimi nikikuibia bwana ujue nimekuzidi ujanja inabidi uwe tu mpole siyo kuanza kuchongachonga tu kwa watu,” alisema...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Samia ajitapa CCM kuumaliza mgogoro
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda
William Malecela ‘Le Mutuz’
STORI: MWANDISHI WETU
NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi.
Mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’
Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Saba wa Tanzania...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Mrembo Rita
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Nani kuwa mrembo wa 20?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi8mtuYwT7X4pXfuAdzb4lHR8z-EYt9GUlB3XXIHudT6lUAy7277dh-UA-YxOiIOiR*SDrmugcqIZYIpebJqa9tt/mremboo.jpg)
MREMBO CHUPUCHUPU KUBAKWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPlCTMPttbHJYYAAWYabQbariVsd20zgK347k0psFQcatNlqK9xPGYvb1lQKTFZ5J6mzVipIVBWahd*fk7d7-Ik/AUNT.jpg?width=650)
ANTI EZEKIEL NI MREMBO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhZz03yUMJmMG83kYq2UxAbhMn4NI6*jrKkDb5L*tzinvAbL9I4d8*HKUS*Gft7KAYEqHEqi3ZO4xr6eafjjW8T/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO NUSURA ABAKWE