Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani kuwa mrembo wa 20?

Mrembo wa 20 wa Taifa (Miss Tanzania) atajulikana usiku wa leo katika fainali itakayofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NANI MBUNGE MREMBO MWENYE MVUTO 2014?

Urembo na mvuto kwenye macho ya binadamu huwezi kuvitenganisha. Wakati kule mjengoni Dodoma wakiendelea kupika bajeti ya serikali ya mwaka 2014/15, Over the Weekend tunakuletea Shindano la Nani Mbungwe Mrembo mwenye mvuto 2014? Ukiwa shabiki namba moja wa safu hii unapata nafasi ya kutuma jina au majina ya wabunge wanaostahili kuingia kwenye kinyang’anyiro hiki. Andika jina la mbunge husika kisha tuma kwenda namba 0713 750...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?

Producer wa Fishcrab, Lamar na muimbaji Gelly wa Rhymes, ni miongoni mwa mastaa wenye watoto. Bahati nzuri wawili hao wana watoto wa kike warembo kweli kweli. Na sasa tunakuuliza, nani mrembo zaidi? Nisha wa Lamar au Queen wa Gelly? Queen Nisha Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Nagris: Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo

Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed  amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja)  na umri sawa na wake.

Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee ninacho mfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;

"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"

Hapo juu ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nagris:Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo

Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed  amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja)  na umri sawa na wake.

Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee Kinachomfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;

"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"

Hapo juu ni...

 

10 years ago

GPL

JE, UNAPENDA KUWA MREMBO NA MWENYE MVUTO KWA HARAKA?

Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.           TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=. 2. Kutengeneza shepu (hips na makalio) @90,000/=. 3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 4. Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 5. Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:- (i)  Gely ya kupaka @70,000/=  (ii)  Vidonge… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

STAA WA KESHO: Binti wa Msanii Kajala, Paula Azidi Kuwa Mrembo

Mtoto wa  msanii wa filamu na Mkurugenzi wa K. Entertainment, Kajala Masanja, Paula Paul ukipenda muite Paulitte. Sasa hivi anaoneka amekuwa binti mkubwa  na mrembo zaidi….Mbali na kuwa mama yake ni staa mkubwa kwa upande wa Bongo Movie, baba yake , P. Funk  aka Majani pia ni mtayarishaji wa music mkongwe na mwenye mafanikia makubwa kwenye upande wa Bongo Flava. Paula japokuwa bado yupo shule lakini maisha yake ya kuwa karibu sana na mama yake kwa ujumla yanamfanya ajuane na ajulikane sio tu...

 

10 years ago

Mwananchi

Nani kuwa ‘First Lady’?

Wakati mbio za WanaCCM wanaojitokeza kuchukua fomu kuwania kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho tawala zikiendea, jamii imebaki na maswali mbalimbali yanayogonga vichwa vyao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawadanganya kuwa tatizo letu ni umri?

EBO! Hivi ninyi kwenu mnadhani ubaguzi ni ule wa rangi tu kule Afrika Kusini waliokuwa wakiupiga vita kina Mandela na wenzake eh? Nasema sasa kweli taifa linakaribia kusambaratika. Sijawahi kuona  kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

DOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS

TANGU  mgombea mwenye umri mdogo zaidi kutangaza nia ya kutaka kuwa rais wa Tanzania, Dogo Jembe amejikuta akipambana na upinzani mkali toka kwa wananchi wengi hasa watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wengi wamekuwa wakimtaka arudi shule huku wengine wakimshambulia kuwa anatumiwa na mmoja ya wanasiasa.
Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani