Nagris:Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo
Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja) na umri sawa na wake.
Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee Kinachomfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;
"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"
Hapo juu ni...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
Nagris: Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo
Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja) na umri sawa na wake.
Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee ninacho mfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;
"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"
Hapo juu ni...
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
TBT: Nagris Kabla ya U-Miss na Ndoto za Kuwa “Bongo Movie Star”
Muigizaji wa filamu, Nagris Mohammed aliiweka kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kama TBT, ikimuonyesha kipindi akiwa bado binti akiwa pamoja na marafiki zake.
TBT (Throw Back Thursday) ni neno maarufu kwenye mtandao wa Instagram, ambapo watu huwekwa picha siku Alhamis nakuweka alama ya #TBT. Watu huweka picha zao za zamani kama kipindi wapo shule, na wengine wakati wanatambaa au matukio ya zamani sana. picha hizi mara nyingi hufurahisha wengi sio wanaziweka tu bali...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Nani kuwa mrembo wa 20?
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-81reXyAxctU/VWlPHQBZrcI/AAAAAAAAutg/I-7KCucLsQk/s400/uji.jpg?width=600)
JE, UNAPENDA KUWA MREMBO NA MWENYE MVUTO KWA HARAKA?
10 years ago
Bongo Movies05 Dec
STAA WA KESHO: Binti wa Msanii Kajala, Paula Azidi Kuwa Mrembo
Mtoto wa msanii wa filamu na Mkurugenzi wa K. Entertainment, Kajala Masanja, Paula Paul ukipenda muite Paulitte. Sasa hivi anaoneka amekuwa binti mkubwa na mrembo zaidi….Mbali na kuwa mama yake ni staa mkubwa kwa upande wa Bongo Movie, baba yake , P. Funk aka Majani pia ni mtayarishaji wa music mkongwe na mwenye mafanikia makubwa kwenye upande wa Bongo Flava. Paula japokuwa bado yupo shule lakini maisha yake ya kuwa karibu sana na mama yake kwa ujumla yanamfanya ajuane na ajulikane sio tu...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mazoezi ya kuapishwa kuwa Rais Dk Magufuli yapamba moto Dar
Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Askari wa Jeshi la Wananchi akiigiza kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange na mwingine akiigiza kama Rais anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete wakati wa mazoezi ya sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vtfm1SMI5BY/VTrRRuloquI/AAAAAAADkD4/vW1BH4PHhc4/s72-c/11130171_789861154424620_5078686899563051160_n.jpg)
PITIA HIZI PICHA NA UTAKUBALI KUWA MAZOEZI NI DAWA YA MWILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vtfm1SMI5BY/VTrRRuloquI/AAAAAAADkD4/vW1BH4PHhc4/s1600/11130171_789861154424620_5078686899563051160_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FskPCzrmFIw/VTrRR63YM-I/AAAAAAADkEA/Vt90QYbPh8k/s1600/11136769_789467821130620_7282696978165091047_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bs6zlRzkyD4/VTrRSW_XFKI/AAAAAAADkEI/0895Ppq03yo/s1600/11146283_789896301087772_7784194555088667492_n.jpg)
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
KUTANA na Nagris Mohammed akiwa katika ‘corporate life’
Miss tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa yupo kwenye tasina ya BONGO MOVIE, Nagris Mohammed mbali na kuwa ni mke wa mtu na ni mama wa mtoto mmoja, nimuajiliwa kwenye taassi ya mambo ya fedha.
Kwamara ya kwanza Nagris alionekana kwenye filamu iitwayo YELLOW BANANA, akiwa ni miongoni mwa waigizaji wakuu,filamu hiyo iliwajumuisha wakali kama Blandina Chagula aka Johari na Vicent Kigosi aka Ray. Baada yaku SHINE humo ndani ndio ukawa mwanzo wa kuigiza movie nyingi zaidi zikiwemo Woman...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Mrembo Rita