Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nagris: Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo

Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed  amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja)  na umri sawa na wake.

Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee ninacho mfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;

"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"

Hapo juu ni...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Nagris:Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo

Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed  amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja)  na umri sawa na wake.

Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee Kinachomfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;

"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"

Hapo juu ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

TBT: Nagris Kabla ya U-Miss na Ndoto za Kuwa “Bongo Movie Star”

Muigizaji wa filamu, Nagris Mohammed  aliiweka kwenye ukurasa wake kwenye mtandao  wa  INSTAGRAM, kama TBT,  ikimuonyesha kipindi akiwa bado binti akiwa pamoja na marafiki zake.

 TBT (Throw Back Thursday) ni neno maarufu kwenye mtandao wa Instagram, ambapo watu  huwekwa picha siku  Alhamis nakuweka alama ya #TBT. Watu huweka picha zao za zamani kama kipindi wapo shule, na wengine wakati wanatambaa au matukio ya zamani sana. picha hizi mara nyingi hufurahisha wengi sio wanaziweka tu bali...

 

10 years ago

Mwananchi

Nani kuwa mrembo wa 20?

Mrembo wa 20 wa Taifa (Miss Tanzania) atajulikana usiku wa leo katika fainali itakayofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

JE, UNAPENDA KUWA MREMBO NA MWENYE MVUTO KWA HARAKA?

Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.           TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=. 2. Kutengeneza shepu (hips na makalio) @90,000/=. 3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 4. Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 5. Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:- (i)  Gely ya kupaka @70,000/=  (ii)  Vidonge… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

STAA WA KESHO: Binti wa Msanii Kajala, Paula Azidi Kuwa Mrembo

Mtoto wa  msanii wa filamu na Mkurugenzi wa K. Entertainment, Kajala Masanja, Paula Paul ukipenda muite Paulitte. Sasa hivi anaoneka amekuwa binti mkubwa  na mrembo zaidi….Mbali na kuwa mama yake ni staa mkubwa kwa upande wa Bongo Movie, baba yake , P. Funk  aka Majani pia ni mtayarishaji wa music mkongwe na mwenye mafanikia makubwa kwenye upande wa Bongo Flava. Paula japokuwa bado yupo shule lakini maisha yake ya kuwa karibu sana na mama yake kwa ujumla yanamfanya ajuane na ajulikane sio tu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mazoezi ya kuapishwa kuwa Rais Dk Magufuli yapamba moto Dar

 Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

02

 Askari wa Jeshi la Wananchi akiigiza kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange na mwingine akiigiza kama Rais anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete wakati wa mazoezi ya sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli...

 

10 years ago

Vijimambo

PITIA HIZI PICHA NA UTAKUBALI KUWA MAZOEZI NI DAWA YA MWILI



 Dulla kijana wa Kitanzania aliejengeka mwili vilivyo kutokana na mazoezi na kula chakula kwa mpangilio. Kama unavyoona Dulla akiwa Gym ndani jiji la wasiolala New York anakoishi.

 

10 years ago

Bongo Movies

KUTANA na Nagris Mohammed akiwa katika ‘corporate life’

Miss tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa yupo kwenye tasina ya BONGO MOVIE, Nagris Mohammed mbali na kuwa ni mke wa mtu na ni mama wa mtoto mmoja, nimuajiliwa kwenye taassi ya mambo ya fedha.

Kwamara ya kwanza Nagris alionekana kwenye filamu iitwayo YELLOW BANANA, akiwa ni miongoni mwa waigizaji wakuu,filamu hiyo iliwajumuisha wakali kama Blandina Chagula  aka Johari na Vicent Kigosi aka Ray. Baada yaku SHINE humo ndani  ndio ukawa mwanzo wa kuigiza movie nyingi zaidi zikiwemo Woman...

 

10 years ago

Mwananchi

Mrembo Rita

Jamani eee! Barua zenu zinachosha. Hamjui kwamba natakiwa kusoma Katiba hiyo ya kujipendekeza kwa makundi mbalimbali ili ipendwe badala ya kupondwa kwa kuondoa mambo ya msingi kuhusu uwajibikaji na muundo wa taifa. Ndiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani