KUTANA na Nagris Mohammed akiwa katika ‘corporate life’
Miss tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa yupo kwenye tasina ya BONGO MOVIE, Nagris Mohammed mbali na kuwa ni mke wa mtu na ni mama wa mtoto mmoja, nimuajiliwa kwenye taassi ya mambo ya fedha.
Kwamara ya kwanza Nagris alionekana kwenye filamu iitwayo YELLOW BANANA, akiwa ni miongoni mwa waigizaji wakuu,filamu hiyo iliwajumuisha wakali kama Blandina Chagula aka Johari na Vicent Kigosi aka Ray. Baada yaku SHINE humo ndani ndio ukawa mwanzo wa kuigiza movie nyingi zaidi zikiwemo Woman...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen16 Jan
CORPORATE SUFI: Life balance in corporate sphere
11 years ago
Dewji Blog24 May
Mh. Mohammed Dewji akiwa katika ziara ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo ya jimbo lake
MO akisalimiana na wazee wa kijiji cha Uhamaka kabla ya kuanza kuzungumza na wananchi.
MO akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kwenye mkutano wake Uhamaka.
Mbunge MO akilakiwa na mmoja wa bibi kizee aliyefika kwenye mkutano wake , Karibu mjukuu wangu hapa Uhamaka.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed Dewji (MO), akiweka saini kwenye kitabu cha ofisi ya kijiji cha Uhamaka Manispaa ya Singida wakati akiwa kwenye ziara ya kiazi ya siku moja kukagua shughuli mbalimbali za...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00731.jpg)
MH. MOHAMMED DEWJI AKIWA KATIKA ZIARA YA KUKAGUA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA JIMBO LAKE
10 years ago
CloudsFM06 Nov
MAKALA:KUTANA NA BAUNSA WA DIAMOND MWENYE DIPLOMA MBILI NA CHETI KATIKA MCHEZO WA ZURKANA
Diamond Platnumz ni msanii pekee wa Bongo Fleva anayetembea na ‘body guard’ au mlinzi kwenye shughuli zake za kimuziki anapokuwa hapa nchini na nje ya nchi huwa anatembea na mtu wa mwenye miraba minne huwa linakuwa pembeni yake huyu jamaa anaitwa Mwarabu Suleiman.
Kwanza majukumu ya ‘body guard’ ni yapi kwa anayemlinda? Bodyguard kazi yake ni kumlinda mteja wake kutokana na hatari, kama wizi, mashambulizi, utekaji, kero, mauaji, vitisho au matukio yoyote ya kiuhalifu.
Mwarabu akipiga stori na...
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
Nagris: Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo
Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja) na umri sawa na wake.
Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee ninacho mfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;
"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"
Hapo juu ni...
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
Nagris:Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo
Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja) na umri sawa na wake.
Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee Kinachomfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;
"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"
Hapo juu ni...
10 years ago
VijimamboDK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s72-c/Mohamed%2BMtoi.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s640/Mohamed%2BMtoi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbJBh7I_UsY/VfT-ou140dI/AAAAAAABVGc/rwvnSDmrjMw/s640/IMG-20150912-WA0193.jpg)
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
TBT: Nagris Kabla ya U-Miss na Ndoto za Kuwa “Bongo Movie Star”
Muigizaji wa filamu, Nagris Mohammed aliiweka kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kama TBT, ikimuonyesha kipindi akiwa bado binti akiwa pamoja na marafiki zake.
TBT (Throw Back Thursday) ni neno maarufu kwenye mtandao wa Instagram, ambapo watu huwekwa picha siku Alhamis nakuweka alama ya #TBT. Watu huweka picha zao za zamani kama kipindi wapo shule, na wengine wakati wanatambaa au matukio ya zamani sana. picha hizi mara nyingi hufurahisha wengi sio wanaziweka tu bali...