Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTANA na Nagris Mohammed akiwa katika ‘corporate life’

Miss tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa yupo kwenye tasina ya BONGO MOVIE, Nagris Mohammed mbali na kuwa ni mke wa mtu na ni mama wa mtoto mmoja, nimuajiliwa kwenye taassi ya mambo ya fedha.

Kwamara ya kwanza Nagris alionekana kwenye filamu iitwayo YELLOW BANANA, akiwa ni miongoni mwa waigizaji wakuu,filamu hiyo iliwajumuisha wakali kama Blandina Chagula  aka Johari na Vicent Kigosi aka Ray. Baada yaku SHINE humo ndani  ndio ukawa mwanzo wa kuigiza movie nyingi zaidi zikiwemo Woman...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

CORPORATE SUFI: Life balance in corporate sphere

>This is the second part and last part of articles on life balance in the corporate sphere. The first article, discussed why it is important for a business owner to hire the right people and treat them like gold. In this article, we talk about qualities of balanced individuals:

 

11 years ago

Dewji Blog

Mh. Mohammed Dewji akiwa katika ziara ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo ya jimbo lake

DSC_0073

MO akisalimiana na wazee wa kijiji cha Uhamaka kabla ya kuanza kuzungumza na wananchi.

DSC_0094

MO akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kwenye mkutano wake Uhamaka.

DSC_0086

Mbunge MO akilakiwa na mmoja wa bibi kizee aliyefika kwenye mkutano wake , Karibu mjukuu wangu hapa Uhamaka.

DSC_0107

Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed Dewji (MO), akiweka saini kwenye kitabu cha ofisi ya kijiji cha Uhamaka Manispaa ya Singida wakati akiwa kwenye ziara ya kiazi ya siku moja kukagua shughuli mbalimbali za...

 

11 years ago

GPL

MH. MOHAMMED DEWJI AKIWA KATIKA ZIARA YA KUKAGUA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA JIMBO LAKE‏

MO akisalimiana na wazee wa kijiji cha Uhamaka kabla ya kuanza kuzungumza na wananchi. MO akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kwenye mkutano wake Uhamaka.…

 

10 years ago

CloudsFM

MAKALA:KUTANA NA BAUNSA WA DIAMOND MWENYE DIPLOMA MBILI NA CHETI KATIKA MCHEZO WA ZURKANA

Diamond Platnumz ni msanii pekee wa Bongo Fleva anayetembea na ‘body guard’ au mlinzi kwenye shughuli zake za kimuziki anapokuwa hapa nchini na nje ya nchi huwa anatembea na mtu wa mwenye miraba minne huwa linakuwa pembeni yake huyu jamaa anaitwa Mwarabu Suleiman.Kwanza majukumu ya ‘body guard’ ni yapi kwa anayemlinda? Bodyguard kazi yake ni kumlinda mteja wake kutokana na hatari, kama wizi, mashambulizi, utekaji, kero, mauaji, vitisho au matukio yoyote ya kiuhalifu.Mwarabu akipiga stori na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nagris: Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo

Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed  amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja)  na umri sawa na wake.

Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee ninacho mfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;

"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"

Hapo juu ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nagris:Mazoezi Hunifanya Nizidi Kuwa Mrembo

Miss Tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa ni mwajiliwa na vile vile ni muigizaji, Nagris Mohamed  amesema siri ya yeye kuzidi kuonekana mrembo na mwenye mvuto tofauti na wadada wengi wenye watoto (kama ambavyo yeye ana mtoto mmoja)  na umri sawa na wake.

Nagris amesema mazoezi ndio kitu pekee Kinachomfanya aonekane bomba, akiongea kwa utani, Nagris alisema;

"Gym mpaka lundenga akiniona anisahau aniambie dada samahani shiriki mis 2015 tutaenda kukuombea kwa wazazi wako"

Hapo juu ni...

 

10 years ago

Vijimambo

DK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela pichani kabla ya kuingia katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani ya Kiwanda cha Tanga Fresh ambaye ni mtoto wa Makamu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM. Dk. Mwale katika maisha yake mengi kwa zaidi ya miaka20 amekua mtumishu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI

Mgombea wa Ubunge, jimbo la Lushoto kwa ticket ya CHADEMA (Mohamed Mtoi) kafariki dunia katika ajali ya gari aliyopata baada ya kutoka kuzindua Kampeni yake tarafa ya Mlola. Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla. Gari alilopata nalo ajari marehemu
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi

 

10 years ago

Bongo Movies

TBT: Nagris Kabla ya U-Miss na Ndoto za Kuwa “Bongo Movie Star”

Muigizaji wa filamu, Nagris Mohammed  aliiweka kwenye ukurasa wake kwenye mtandao  wa  INSTAGRAM, kama TBT,  ikimuonyesha kipindi akiwa bado binti akiwa pamoja na marafiki zake.

 TBT (Throw Back Thursday) ni neno maarufu kwenye mtandao wa Instagram, ambapo watu  huwekwa picha siku  Alhamis nakuweka alama ya #TBT. Watu huweka picha zao za zamani kama kipindi wapo shule, na wengine wakati wanatambaa au matukio ya zamani sana. picha hizi mara nyingi hufurahisha wengi sio wanaziweka tu bali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani