Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKALA:KUTANA NA BAUNSA WA DIAMOND MWENYE DIPLOMA MBILI NA CHETI KATIKA MCHEZO WA ZURKANA

Diamond Platnumz ni msanii pekee wa Bongo Fleva anayetembea na ‘body guard’ au mlinzi kwenye shughuli zake za kimuziki anapokuwa hapa nchini na nje ya nchi huwa anatembea na mtu wa mwenye miraba minne huwa linakuwa pembeni yake huyu jamaa anaitwa Mwarabu Suleiman.Kwanza majukumu ya ‘body guard’ ni yapi kwa anayemlinda? Bodyguard kazi yake ni kumlinda mteja wake kutokana na hatari, kama wizi, mashambulizi, utekaji, kero, mauaji, vitisho au matukio yoyote ya kiuhalifu.Mwarabu akipiga stori na...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa

Ubunifu ni kufanya jambo kwa namna tofauti na jinsi lilivyozoeleka, hivyo mtu akifanya jambo hilo linalofanana na uundaji wa kitu kinacholeta maana, mtu huyo ataitwa mbunifu.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)

Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapo Afrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu  wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ. Mtoto huyo alianza kuchukua headlines kabla ya kushinda kwenye shindano la S.A Got Talent 2015 baada ya kuwashinda washiriki sita kwenye fainali zilizofanyika Nov […]

The post Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

PESA NOMA HATIMAYE DIAMOND AGEUZWA BUSHOKE NA ZARI...ABEBESHWA POCHI HUKU BAUNSA WAKE AKIMCHEKA

Baada ya Diamond Platinumz a.k.a Chibu kunaswa na camera akiwa amembebea mkoba mpenzi wake Zarri Hussein, jiulize je wanaume wangapi tunaliweza jambo hilo.Kwa kitendo hicho ambacho wanawake wengi wamekifagilia na kukiita cha kigentleman unampa maksi ngapi msanii huyu?

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ATAITIWA AIRPORT DIAMOND KWA SAA MBILI

KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili. Soma zaidi hapa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

PROFESA ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA: Mwanzilishi wa Bawata mwenye sura mbili

LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Ni wazi habari juu ya Profesa Tibaijuka, zimeandikwa sana. Siandiki juu ya Profesa Tibaijuka Mbunge, mjumbe wa NEC...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini gari la Diamond limkere Waziri Makala?

SHIRIKISHO la Wasanii Tanzania (Shiwata) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, Januari 17 lilifanya kongamano lililowakutanisha wadau wake,  wasanii, wanamichezo na wanahabari katika ukumbi wa Lamada, Ilala jijini Dar es...

 

10 years ago

Bongo Movies

KUTANA na Nagris Mohammed akiwa katika ‘corporate life’

Miss tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa yupo kwenye tasina ya BONGO MOVIE, Nagris Mohammed mbali na kuwa ni mke wa mtu na ni mama wa mtoto mmoja, nimuajiliwa kwenye taassi ya mambo ya fedha.

Kwamara ya kwanza Nagris alionekana kwenye filamu iitwayo YELLOW BANANA, akiwa ni miongoni mwa waigizaji wakuu,filamu hiyo iliwajumuisha wakali kama Blandina Chagula  aka Johari na Vicent Kigosi aka Ray. Baada yaku SHINE humo ndani  ndio ukawa mwanzo wa kuigiza movie nyingi zaidi zikiwemo Woman...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani