MAKALA:KUTANA NA BAUNSA WA DIAMOND MWENYE DIPLOMA MBILI NA CHETI KATIKA MCHEZO WA ZURKANA
Diamond Platnumz ni msanii pekee wa Bongo Fleva anayetembea na ‘body guard’ au mlinzi kwenye shughuli zake za kimuziki anapokuwa hapa nchini na nje ya nchi huwa anatembea na mtu wa mwenye miraba minne huwa linakuwa pembeni yake huyu jamaa anaitwa Mwarabu Suleiman.
Kwanza majukumu ya ‘body guard’ ni yapi kwa anayemlinda? Bodyguard kazi yake ni kumlinda mteja wake kutokana na hatari, kama wizi, mashambulizi, utekaji, kero, mauaji, vitisho au matukio yoyote ya kiuhalifu.
Mwarabu akipiga stori na...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)
Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapo Afrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ. Mtoto huyo alianza kuchukua headlines kabla ya kushinda kwenye shindano la S.A Got Talent 2015 baada ya kuwashinda washiriki sita kwenye fainali zilizofanyika Nov […]
The post Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sePHT-Eu2jI/VKq1THSpipI/AAAAAAAAaJ0/pllBMBgQOLA/s72-c/D.png)
PESA NOMA HATIMAYE DIAMOND AGEUZWA BUSHOKE NA ZARI...ABEBESHWA POCHI HUKU BAUNSA WAKE AKIMCHEKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sePHT-Eu2jI/VKq1THSpipI/AAAAAAAAaJ0/pllBMBgQOLA/s640/D.png)
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhxRh*2Z5Bs8i8eOYIPn3YqSNwT8Kj1FcKgkfRG-N6Y4b-hA-BPyOJNdoAHh434M4e93iL1MHPqGzVmA29vRQqiz/FRONTWIKIENDA1.jpg?width=750)
DIAMOND ATAITIWA AIRPORT DIAMOND KWA SAA MBILI
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
PROFESA ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA: Mwanzilishi wa Bawata mwenye sura mbili
LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Ni wazi habari juu ya Profesa Tibaijuka, zimeandikwa sana. Siandiki juu ya Profesa Tibaijuka Mbunge, mjumbe wa NEC...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Kwanini gari la Diamond limkere Waziri Makala?
SHIRIKISHO la Wasanii Tanzania (Shiwata) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, Januari 17 lilifanya kongamano lililowakutanisha wadau wake, wasanii, wanamichezo na wanahabari katika ukumbi wa Lamada, Ilala jijini Dar es...
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
KUTANA na Nagris Mohammed akiwa katika ‘corporate life’
Miss tanzania namba tatu (2003/04) ambae kwasasa yupo kwenye tasina ya BONGO MOVIE, Nagris Mohammed mbali na kuwa ni mke wa mtu na ni mama wa mtoto mmoja, nimuajiliwa kwenye taassi ya mambo ya fedha.
Kwamara ya kwanza Nagris alionekana kwenye filamu iitwayo YELLOW BANANA, akiwa ni miongoni mwa waigizaji wakuu,filamu hiyo iliwajumuisha wakali kama Blandina Chagula aka Johari na Vicent Kigosi aka Ray. Baada yaku SHINE humo ndani ndio ukawa mwanzo wa kuigiza movie nyingi zaidi zikiwemo Woman...