Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB AJITAPA KUWA STRAIKA

Stori: Maria Halimoja TAMBO! Bonge la Bwana, Jacob Steven ‘JB’ amejitapa kuwa licha ya mwili wake kutoonekana wa mazoezi lakini yeye ni bonge la straika. Bonge la Bwana, Jacob Steven ‘JB’. Akistorisha na paparazi wetu, JB ambaye anatamba na filamu ya Shikamoo Mzee, alisema mpira alianza kucheza kitambo tangu alipokuwa akiichezea timu ya JKT Mgambo na Mutukula ya Mwananyamala Dar hadi sasa kwenye Klabu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MREMBO AJITAPA

Imelda Mtema
Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Flava, Tunda Sabasita amejitapa kumpora bwana muuza nyago mwenzie, Agness Gerald ‘Masogange’ na kusababisha wawili hao kuingia kwenye bifu zito.Sosi aliye karibu na wauza nyago hao alisema kuwa bifu walilonalo linamhusu bwana aliyetajwa kwa jina moja la Said ambaye makazi yake ni nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’. Muuza nyago kwenye video za wasanii...

 

9 years ago

Mwananchi

Samia ajitapa CCM kuumaliza mgogoro

Mgodi wa Kiwira uliokuwa na mgogoro kwa zaidi ya miaka 10 kati ya mwekezaji na Serikali, umepata mwekezaji mwingine.

 

9 years ago

Global Publishers

Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda

lemutuzzzzsssWilliam Malecela ‘Le Mutuz’

STORI: MWANDISHI WETU

NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi.

AMANDA2Mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’

Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Saba wa Tanzania...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Ajitapa Kukwapua Waume za Watu

MREMBO anayesukuma maisha yake kupitia sinema Bongo, Jacqueline Wolper amejitapa kuwa haoni tatizo kuchukua mume wa mtu kwani wanaoibiwa ni wadhaifu.

Akifafanua kauli yake, Wolper alisema, kumekuwa na malalamiko mengi ya mastaa wa kike kuhusu kuibiana mabwana kitu ambacho yeye anaamini kwamba kama ukiwa mbunifu huwezi kuibiwa, wanaoibiwa wasilalamike.

“Bibi eeeh acha waseme. Mimi nikikuibia bwana ujue nimekuzidi ujanja inabidi uwe tu mpole siyo kuanza kuchongachonga tu kwa watu,” alisema...

 

10 years ago

GPL

Straika Force

Waandishi Wetu,
Dar es Salaam UNAWEZA kusema ni ‘straika force’ yaani nguvu ya mashambulizi kwa tafsiri inayoshabihiana na mazingira ya soka la Bongo, kwani Simba na Yanga zote zimeonekana kujiimarisha katika safu za ushambuliaji. Amissi Tambwe na Simon Msuva wakishangilia kwa pamoja. Msimu uliopita, Yanga ilitwaa ubingwa huku ikionekana kuwa na safu nzuri ya ushambuliaji kwani ilifunga mabao 52 katika Ligi Kuu...

 

11 years ago

Mtanzania

Straika wa Chelsea atua Yanga

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.

Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...

 

10 years ago

GPL

Simba yafuata straika Senegal

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe. Hans Mloli,Dar es Salaam
SIMBA wanajua kuwa wakifanya mchezo katika nafasi ya straika, basi msimu ujao watafulia zaidi.
Ili kuonyesha hawataki utani wameamua kusaka straika wa uhakika katika nchi tano ikiwemo Senegal pamoja Ghana kwa upande wa Afrika Magharibi. Pamoja na nchi hizo mbili, Simba wataendelea kusaka mshambuliaji mkali katika nchi za Burundi, Kenya na...

 

11 years ago

GPL

TP Mazembe yaipa Simba straika

Mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Botswana, Jerome Ramatlhakwane. Na Mwandishi Wetu
SIMBA iko katika hatua za mwisho kumtwaa mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Botswana, Jerome Ramatlhakwane ambaye ni mali ya TP Mazembe ya DR Congo. TP Mazembe imekubali kumtoa Ramatlhakwane, maarufu kama Rama kwa Simba kwa mkopo katika kipindi cha msimu mmoja… ...

 

11 years ago

GPL

Milioni 42 zakamilisha usajili wa straika Simba

Na Nicodemus Jonas
TIMU ya Simba imeonesha jeuri ya fedha na kuuhakikishia umma kuwa haitaki mzaha msimu ujao, baada ya kumwaga kitita cha Sh milioni 42 kumnyakua straika wa Mbeya City, Saady Kipanga. Habari za kina kutoka kwa rafiki wa nyota huyo zinadai kuwa, Simba imempatia kitita cha Sh milioni 30 ‘keshi’, kama njia ya kumshawishi pamoja na kumuahidi mshahara wa Sh milioni moja kwa mwezi.
Mshahara huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani