Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda
William Malecela ‘Le Mutuz’
STORI: MWANDISHI WETU
NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi.
Mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’
Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Saba wa Tanzania...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpFk75IKJc/VME9B2l9NaI/AAAAAAAAXtk/8akGjTEmklk/s72-c/le%2Bmutuzii899.jpg)
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Chipukizi Ronki kutoka kimapenzi
NA SHARIFA MMASI
CHIPUKIZI kwenye muziki wa Bongo Fleva, Ramadhan Jafar ‘Ronki’, yupo mbioni kutoka na wimbo wake wa kwanza wa kimapenzi alioupa jina ‘Mapenzi Siri’.
“Nimeingia kwenye familia ya muziki wa bongo fleva nikiwa nafahamu ushindani wa hali ya juu uliopo kwenye muziki wa sasa, lakini kipaji changu ndicho kinachonipa jeuri ya kuja kufanya vizuri siku zijazo,’’ alisema chipukizi huyo.
“Tayari nimeachia wimbo wa kwanza tangu nijikite kwenye muziki na ninamshukuru Mungu unaendelea...
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Bella kutoka kimapenzi Valentine Day
NA MWANDISHI WETU
MFALME wa Masauti Bongo, Christian Bella ‘Obama’, yupo mbioni kuachia wimbo mpya wa mapenzi ambao utazinduliwa rasmi siku ya wapendanao ‘Valentine Day’ kwenye Ukumbi wa Dar Live.
Akizungumza na gazeti hili, Bella ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC), alisema ameamua kutoka kivingine baada ya kutoa wimbo wa Nani Kama Mama na kufanya vizuri katika soko la muziki wa dansi.
“Nilifurahishwa na mapokezi ya wimbo wangu wa Nani Kama Mama pamoja na nyimbo nyingine...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhUw84MFOewtQ-96AfV47uajEM7Ml5b-hSgTBtoIm1LOFAejL4E*KCwdoEn6i76eFKjIi-AI8Xb90Wbz6unIGrg/tundaMAN.jpg)
TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA
9 years ago
Bongo524 Dec
Shamsa Ford: Sitaki tena kutoka kimapenzi na mastaa
![Shamsa Ford](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Shamsa-Ford-300x194.jpg)
Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amesema amekoma kutoka kimapenzi na watu maarufu.
Muigizaji huyo ambaye miezi michache iliyopita alikiri kutoka kimapenzi na rapa Nay wa Mitego, ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi amepata mpenzi mpya ambaye atamweka wazi siku ya harusi yake.
“Mimi ni mwanamke mzuri nakosaje mwanaume? Nimetimia kila idara, nina mchumba ambaye tunapendana Mungu akijalia kiukweli natamani awe mume wangu,” amesema.
“Nimeshatangaza kabisa mastaa sitaki nimekoma,...
9 years ago
Bongo506 Oct
Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e8-Jqulrof9ERjnQxAsdNQ5cxpYsLsfOt9xglOIUFaT1LToOIdyB7lVLu*U3X7-qqQfYsfZ857BZnbFF4A52emb/Masogange.jpg)
MREMBO AJITAPA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVn5nVQLGVLM9rjKxygtjZEcG*2oOTTRq7L0SwuRShyXMzudHcx88n4Hs3g2FPtu3NLJBM5zcLDfJk77dcTkx1K9/JB.jpg)
JB AJITAPA KUWA STRAIKA
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Samia ajitapa CCM kuumaliza mgogoro