Bella kutoka kimapenzi Valentine Day
NA MWANDISHI WETU
MFALME wa Masauti Bongo, Christian Bella ‘Obama’, yupo mbioni kuachia wimbo mpya wa mapenzi ambao utazinduliwa rasmi siku ya wapendanao ‘Valentine Day’ kwenye Ukumbi wa Dar Live.
Akizungumza na gazeti hili, Bella ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC), alisema ameamua kutoka kivingine baada ya kutoa wimbo wa Nani Kama Mama na kufanya vizuri katika soko la muziki wa dansi.
“Nilifurahishwa na mapokezi ya wimbo wangu wa Nani Kama Mama pamoja na nyimbo nyingine...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-w*7KDhRNcCLpbaFzJgE0HwCoNA*Du8st3nLV5kZ673l1RmRU1ySYSu5aomgyRXYrtJbfVnI05kKFfMUkrd3oN/Bella.jpg)
UTAMU WA BELLA VALENTINEÍS DAY KESHO HUU HAPA!
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA AACHA HISTORIA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
10 years ago
GPL10 Feb
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Christian Bella ‘King of the Best melodies’ aahidi makubwa shoo ya Valentine’s Day, Dar Live
Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live.
Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).
Christian Bella (kulia) akiwapa vionjo vya wimbo wake mpya wa ‘NASHINDWA’ wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Malaika Band, X-Bass Babu Bomba.
Bella akitoa vionjo vya wimbo wa ‘NANI KAMA MAMA’ kwa wanahabari.
Bella akiwa na Mhariri wa Gazeti la Risasi...
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG-20140211-WA0001.jpg?width=534)
NJOO USHUHUDIE NYIMBO TAMU ZA KIMAHABA NA ZAWADI KEM KEM SIKU YA WAPENDANAO (VALENTINE'S DAY) NA LIVE MUSIC KUTOKA SKYLIGHT BAND IJUMAA HII
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Umejiandaaje na Valentine’s day?
URAFIKI na Mahusiano ndio jina la safu hii mpenzi msomaji. Ni matumaini yangu umzima na unaendelea vema kukabiliana na shughuli mbambali za ujenzi wa taifa hili. Nami bila hajizi nakukaribisha...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Chipukizi Ronki kutoka kimapenzi
NA SHARIFA MMASI
CHIPUKIZI kwenye muziki wa Bongo Fleva, Ramadhan Jafar ‘Ronki’, yupo mbioni kutoka na wimbo wake wa kwanza wa kimapenzi alioupa jina ‘Mapenzi Siri’.
“Nimeingia kwenye familia ya muziki wa bongo fleva nikiwa nafahamu ushindani wa hali ya juu uliopo kwenye muziki wa sasa, lakini kipaji changu ndicho kinachonipa jeuri ya kuja kufanya vizuri siku zijazo,’’ alisema chipukizi huyo.
“Tayari nimeachia wimbo wa kwanza tangu nijikite kwenye muziki na ninamshukuru Mungu unaendelea...
10 years ago
TheCitizen14 Feb
THE PUB: It’s Valentine’s Day, where’s your beloved?