UTAMU WA BELLA VALENTINEÍS DAY KESHO HUU HAPA!
![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-w*7KDhRNcCLpbaFzJgE0HwCoNA*Du8st3nLV5kZ673l1RmRU1ySYSu5aomgyRXYrtJbfVnI05kKFfMUkrd3oN/Bella.jpg)
HATIMAYE ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapendanao wote ‘Valentine’s Day’ imefika ambapo kesho ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kutoka kwa wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ pamoja na Mfalme Mzee Yusuf. Bella akitoa vionjo vya wimbo wa 'NANI KAMA… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Bella kutoka kimapenzi Valentine Day
NA MWANDISHI WETU
MFALME wa Masauti Bongo, Christian Bella ‘Obama’, yupo mbioni kuachia wimbo mpya wa mapenzi ambao utazinduliwa rasmi siku ya wapendanao ‘Valentine Day’ kwenye Ukumbi wa Dar Live.
Akizungumza na gazeti hili, Bella ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC), alisema ameamua kutoka kivingine baada ya kutoa wimbo wa Nani Kama Mama na kufanya vizuri katika soko la muziki wa dansi.
“Nilifurahishwa na mapokezi ya wimbo wangu wa Nani Kama Mama pamoja na nyimbo nyingine...
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA AACHA HISTORIA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
10 years ago
GPL10 Feb
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Christian Bella ‘King of the Best melodies’ aahidi makubwa shoo ya Valentine’s Day, Dar Live
Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live.
Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).
Christian Bella (kulia) akiwapa vionjo vya wimbo wake mpya wa ‘NASHINDWA’ wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Malaika Band, X-Bass Babu Bomba.
Bella akitoa vionjo vya wimbo wa ‘NANI KAMA MAMA’ kwa wanahabari.
Bella akiwa na Mhariri wa Gazeti la Risasi...
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Umejiandaaje na Valentine’s day?
URAFIKI na Mahusiano ndio jina la safu hii mpenzi msomaji. Ni matumaini yangu umzima na unaendelea vema kukabiliana na shughuli mbambali za ujenzi wa taifa hili. Nami bila hajizi nakukaribisha...
10 years ago
TheCitizen13 Feb
The true meaning of valentine’s day
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1CoGk5BqL1Y/UvD10CMw2MI/AAAAAAAFK24/BUm3txxjGyA/s72-c/unnamed+(2).jpg)
2 weeks left to Valentine's Day!
![](http://3.bp.blogspot.com/-1CoGk5BqL1Y/UvD10CMw2MI/AAAAAAAFK24/BUm3txxjGyA/s1600/unnamed+(2).jpg)
Call 0717 109 362 or 0784 636 169today
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
‘Valentine’s Day’ na namna ya kusherehekea
INAPOFIKA Februari 14 kila mwaka, dunia nzima imekuwa ikisherehekea Siku ya Wapendanao, maarufru kama ‘Valentine’s Day’, kwa wengi wao kutumiana zawadi za maua, kadi na nyinginezo, ambazo hufungwa ndani ya...