Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


C NEWS: CHRISTIAN BELLA AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Dewji Blog

Christian Bella ‘King of the Best melodies’ aahidi makubwa shoo ya Valentine’s Day, Dar Live

CHRISTIANBELLA1

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live.

Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).

Christian Bella (kulia) akiwapa vionjo vya wimbo wake mpya wa ‘NASHINDWA’ wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Malaika Band, X-Bass Babu Bomba.

Bella akitoa vionjo vya wimbo wa ‘NANI KAMA MAMA’ kwa wanahabari.

Bella akiwa na Mhariri wa Gazeti la Risasi...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA AACHA HISTORIA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella akiimba na mashabiki wimbo wa Usilie. Bella akiwakonga mashabiki jukwaani.…

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE

Baadhi ya wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi kwa picha wakati wakimsubiri Bella kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo. Wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi na Mwandishi wa tovuti hii, Gabriel Ng'osha. PREZIDAA wa Malaika Music Band, Christian Bella, anatarajiwa kutua jijini Dar muda wowote kuanzia sasa akitokea nchini Sweden. Baadhi ya mashabiki pamoja na wasanii wenzake wa… ...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

VALENTINE'S DAY: HAPATOSHI DAR LIVE LEO

Mfalme wa miondoko ya taarabu Bongo, Mzee Yusuf leo atakuwa ndani ya Dar Live kuwapa raha wapendanao. WAPENDANAO KUJIACHIA NA MZEE YUSUF HAKUNA haja ya kuhangaika leo katika sikukuu ya wapendanao, kiwanja ni kimoja tu, Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar. Mfalme wa miondoko ya taarabu Bongo, Mzee Yusuf atashusha shoo maalum kwa wapendanao katika ukumbi huo, hivyo burudani itachukua mkondo wake pamoja
na zawadi kibao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani