Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chipukizi Ronki kutoka kimapenzi

NA SHARIFA MMASI

CHIPUKIZI kwenye muziki wa Bongo Fleva, Ramadhan Jafar ‘Ronki’, yupo mbioni kutoka na wimbo wake wa kwanza wa kimapenzi alioupa jina ‘Mapenzi Siri’.

“Nimeingia kwenye familia ya muziki wa bongo fleva nikiwa nafahamu ushindani wa hali ya juu uliopo kwenye muziki wa sasa, lakini kipaji changu ndicho kinachonipa jeuri ya kuja kufanya vizuri siku zijazo,’’ alisema chipukizi huyo.

“Tayari nimeachia wimbo wa kwanza tangu nijikite kwenye muziki na ninamshukuru Mungu unaendelea...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda

lemutuzzzzsssWilliam Malecela ‘Le Mutuz’

STORI: MWANDISHI WETU

NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi.

AMANDA2Mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’

Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Saba wa Tanzania...

 

10 years ago

Mtanzania

Bella kutoka kimapenzi Valentine Day

bellaggNA MWANDISHI WETU
MFALME wa Masauti Bongo, Christian Bella ‘Obama’, yupo mbioni kuachia wimbo mpya wa mapenzi ambao utazinduliwa rasmi siku ya wapendanao ‘Valentine Day’ kwenye Ukumbi wa Dar Live.

Akizungumza na gazeti hili, Bella ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC), alisema ameamua kutoka kivingine baada ya kutoa wimbo wa Nani Kama Mama na kufanya vizuri katika soko la muziki wa dansi.

“Nilifurahishwa na mapokezi ya wimbo wangu wa Nani Kama Mama pamoja na nyimbo nyingine...

 

10 years ago

GPL

TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA

Na Ibrahim Mussa
MKALI wa kibao cha Msambinungwa, Khalid Ramadhani ‘Tunda Man’, amesema hana mpango wa kutoka kimapenzi na msanii wa filamu za maigizo, mwanadada Wema Sepetu kwa kuwa hawaendani kabisa.…

 

9 years ago

Bongo5

Shamsa Ford: Sitaki tena kutoka kimapenzi na mastaa

Shamsa Ford

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amesema amekoma kutoka kimapenzi na watu maarufu.

Shamsa Ford

Muigizaji huyo ambaye miezi michache iliyopita alikiri kutoka kimapenzi na rapa Nay wa Mitego, ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi amepata mpenzi mpya ambaye atamweka wazi siku ya harusi yake.

“Mimi ni mwanamke mzuri nakosaje mwanaume? Nimetimia kila idara, nina mchumba ambaye tunapendana Mungu akijalia kiukweli natamani awe mume wangu,” amesema.
“Nimeshatangaza kabisa mastaa sitaki nimekoma,...

 

9 years ago

Bongo5

Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu

Mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan amekanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu baada ya kuonekana kuwa karibu zaidi katika miezi kadhaa iliyopita. Akizungumza jana kwenye kipindi cha Mkasi TV kinachorushwa kupitia kituo cha runinga cha EATV, Idris alisema hajawahi kutoka kimapenzi na Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 kama watu wanavyosema. “Kwahiyo mimi nikiwa […]

 

10 years ago

Michuzi

Mwandishi chipukizi kutoka Zanzibar aja na ‘Paka wa Binti Hatibu’

Na Ali Othman Ali.
Mwandishi anayechipukia kwa kasi katika tasnia ya fasihi ya Kiswahili ambaye pia ni Mhadhiri wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha London, SOAS na Cambridge nchini Uingereza, Bwana Yussuf Shoka Hamad, hivi karibuni anatarajia kutoa kitabu chake kipya na cha kwanza kuchapishwa kinachoitwa; ‘Paka wa Binti Hatibu na Hadithi Nyingine’.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii kwa simu kutoka nyumbani kwake jijini London, Bwana Yussuf alisema; ‘ Msomi kama binadamu hufa,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya Kumla Dumor 2020: Inamtafuta mwandishi chipukizi kutoka Afrika

BBC inamsaka mwandishi nyota wa Afrika kwa tuzo ya BBC ya Komla Dumor 2020.

 

10 years ago

Michuzi

NYIMBO MPYA YA MSANII CHIPUKIZI KUTOKA MKOA WA MBEYA SJ IITWAYO KUMBE MAPENZI

Tone Multimedia Group Kupitia Mtandao wetu wa Mbeya yetu Blog tumezimia kuanza kuwasaidia wasanii Chipukizi kutoka Mkoa wa Mbeya na Mikoa mingine ya Jirani kimuziki kwa Kutambulisha kazi zao mbalimbali ili wadau pia mpate kuwafahamu.Tunaanza kumtambulisha kwenu Msanii wa nyimbo za kizazi kipya yaani Bongo Flava kwa jina lake halisi ni Shuku na jina la kisanii anaitwa SJ kijana ambaye yupo chini ya Mdhamini wake Mkuu Jacob Mwaisango ambaye aliona kipaji chake na kuamua kumsaidia kwa Hali na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Jokate: Sijaona wa Kumwamini Kimapenzi

LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Jokate alisema ni ngumu kwa watu kuamini kuwa amekuwa akiumizwa na mapenzi mara kwa mara, kutokana na muonekano wa urembo alionao, lakini ukweli unabaki kuwa, anaumizwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani