Mwandishi chipukizi kutoka Zanzibar aja na ‘Paka wa Binti Hatibu’
![](http://3.bp.blogspot.com/-jScHCTD8FZY/VBraLJ11FeI/AAAAAAAGkSA/WcSshJ8B4R8/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-09-18%2Bat%2B4.09.06%2BPM.png)
Na Ali Othman Ali.
Mwandishi anayechipukia kwa kasi katika tasnia ya fasihi ya Kiswahili ambaye pia ni Mhadhiri wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha London, SOAS na Cambridge nchini Uingereza, Bwana Yussuf Shoka Hamad, hivi karibuni anatarajia kutoa kitabu chake kipya na cha kwanza kuchapishwa kinachoitwa; ‘Paka wa Binti Hatibu na Hadithi Nyingine’.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii kwa simu kutoka nyumbani kwake jijini London, Bwana Yussuf alisema; ‘ Msomi kama binadamu hufa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2ZDN9U2ddkk/VMsuF5waGTI/AAAAAAAHATs/CfHA0j5bWqI/s72-c/Untitled1.png)
10 years ago
Michuzi20 Mar
9 years ago
MichuziPROFESA SAID AHMED MUHAMMED APOKEA NAKALA YA ‘PAKA WA BINTI HATIBU’
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qMl23p7fDMo/VKvpbr2G_9I/AAAAAAAG7uI/8G44gCsYDcg/s72-c/Picha%2Bya%2B3.jpg)
Profesa Abdillatif Abdalla amtemeblea ‘Paka wa Binti Hatibu’ jijini London
Mshairi nguli na mwalimu mzoefu wa Kiswahili ambaye pia ni mwanasiasa mkongwe kutoka nchini Kenya, Bwana Abdilatif Abdalla amemtembelea mwandishi chipukizi kutoka Zanzibar, Bwana Yussuf Shoka ofisini kwake jijini London mapema wiki hii. Katika ziara yake hiyo fupi Bwana Abdalla alifanya mazungumzo mafupi na mwandishi huyo kuhusu kitabu chake kipya cha ‘Paka wa Binti Hatibu’.
Gwiji huyo ambaye ametumia muda mwingi kufundisha Kiswahili nchini Uingereza na Leipzig, Ujerumani...
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Tuzo ya Kumla Dumor 2020: Inamtafuta mwandishi chipukizi kutoka Afrika
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Mwandishi Uingereza aja kuona vita dhidi ya ujangili
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Chipukizi Ronki kutoka kimapenzi
NA SHARIFA MMASI
CHIPUKIZI kwenye muziki wa Bongo Fleva, Ramadhan Jafar ‘Ronki’, yupo mbioni kutoka na wimbo wake wa kwanza wa kimapenzi alioupa jina ‘Mapenzi Siri’.
“Nimeingia kwenye familia ya muziki wa bongo fleva nikiwa nafahamu ushindani wa hali ya juu uliopo kwenye muziki wa sasa, lakini kipaji changu ndicho kinachonipa jeuri ya kuja kufanya vizuri siku zijazo,’’ alisema chipukizi huyo.
“Tayari nimeachia wimbo wa kwanza tangu nijikite kwenye muziki na ninamshukuru Mungu unaendelea...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s72-c/IMG-20150306-WA0048.jpg)
Mwandishi wa Habari Zanzibar, Ali Saleh Achukua Fomu leo kugombea Ubunge Mji Mkongwe Zanzibar
![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s640/IMG-20150306-WA0048.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XF1RVb4mZpY/VPn63aZbg6I/AAAAAAABnXc/mb1zalBP6i0/s640/IMG-20150306-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XjsGQW0giaU/VPn631GDyPI/AAAAAAABnXo/Dd7irLdPTAk/s640/IMG-20150306-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPgx2NphJ7E/VPn637RQrgI/AAAAAAABnXg/6TPraAXjWEA/s640/IMG-20150306-WA0006.jpg)
10 years ago
MichuziMAXIMO AJA NA KIFAA KINGINE CHA YANGA KUTOKA BRAZIL