HATIMAYE “PAKA WA BINTI HATIBU” AINGIA MITAANI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziMwandishi chipukizi kutoka Zanzibar aja na ‘Paka wa Binti Hatibu’
Mwandishi anayechipukia kwa kasi katika tasnia ya fasihi ya Kiswahili ambaye pia ni Mhadhiri wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha London, SOAS na Cambridge nchini Uingereza, Bwana Yussuf Shoka Hamad, hivi karibuni anatarajia kutoa kitabu chake kipya na cha kwanza kuchapishwa kinachoitwa; ‘Paka wa Binti Hatibu na Hadithi Nyingine’.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii kwa simu kutoka nyumbani kwake jijini London, Bwana Yussuf alisema; ‘ Msomi kama binadamu hufa,...
9 years ago
MichuziPROFESA SAID AHMED MUHAMMED APOKEA NAKALA YA ‘PAKA WA BINTI HATIBU’
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
MichuziProfesa Abdillatif Abdalla amtemeblea ‘Paka wa Binti Hatibu’ jijini London
Mshairi nguli na mwalimu mzoefu wa Kiswahili ambaye pia ni mwanasiasa mkongwe kutoka nchini Kenya, Bwana Abdilatif Abdalla amemtembelea mwandishi chipukizi kutoka Zanzibar, Bwana Yussuf Shoka ofisini kwake jijini London mapema wiki hii. Katika ziara yake hiyo fupi Bwana Abdalla alifanya mazungumzo mafupi na mwandishi huyo kuhusu kitabu chake kipya cha ‘Paka wa Binti Hatibu’.
Gwiji huyo ambaye ametumia muda mwingi kufundisha Kiswahili nchini Uingereza na Leipzig, Ujerumani...
10 years ago
GPLGENEVIEVE, OMOTOLA CHUI NA PAKA
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Paka mkubwa aonekana Paris
10 years ago
GPLAMANDA AJIPOZA MACHUNGU NA PAKA!
10 years ago
GPLPAKA AFUNGWA HIRIZI MTINI
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Akamatwa akidaiwa kuuza nyama ya paka
Na Asifiwe George na Mwantum Saadi, Dar es Salaam
MUUZA mishikaki mmoja katika kituo cha daladala cha Temeke mwisho jijini Dar es Salaam maarufu kwa jina la Said Mishikaki, amekamatwa na kupigwa na wananchi kwa tuhuma za kuuza mishikaki ya nyama ya paka.
Said alikamatwa jana asubuhi baada ya taarifa kusambaa katika eneo hilo zikimtuhumu kwamba amekuwa na kawaida kuuza mishikaki ya nyama ya paka badala ya ng’ombe, mbuzi na wanyama wengine wanaoliwa.
Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio...