Akamatwa akidaiwa kuuza nyama ya paka
Na Asifiwe George na Mwantum Saadi, Dar es Salaam
MUUZA mishikaki mmoja katika kituo cha daladala cha Temeke mwisho jijini Dar es Salaam maarufu kwa jina la Said Mishikaki, amekamatwa na kupigwa na wananchi kwa tuhuma za kuuza mishikaki ya nyama ya paka.
Said alikamatwa jana asubuhi baada ya taarifa kusambaa katika eneo hilo zikimtuhumu kwamba amekuwa na kawaida kuuza mishikaki ya nyama ya paka badala ya ng’ombe, mbuzi na wanyama wengine wanaoliwa.
Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mbaroni akidaiwa kuuza nyama ya binadamu
10 years ago
Vijimambo18 Feb
MUUZA MISHIKIKA AKAMATWA NA NYAMA YA PAKA NA KISHA KUSULUBIWA NA WATEJA WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-CnoB2eFfIeQ%2FVOMcrzxA9PI%2FAAAAAAAAAkk%2FqjvS_JOmzc8%2Fs1600%2Fmis.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
11 years ago
Mwananchi17 May
Njaa yaisukuma familia kula nyama ya paka
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Akamatwa Muhimbili akidaiwa kufanya utabibu kinyemela
11 years ago
KwanzaJamii04 Jun
IRINGA WALISHWA NYAMA YA MIZOGA YA PUNDA, PAKA NA MBWA
9 years ago
Mwananchi09 Nov
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Afutiwa shitaka la kuuza nyama ya binadamu
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Akamatwa akijaribu kuuza mtoto wa miezi 3