Akamatwa Muhimbili akidaiwa kufanya utabibu kinyemela
Maofisa Usalama wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamemkamata mtu anayedaiwa kutoa huduma kwa wagonjwa kinyume cha utaratiba na kwamba, amekuwa akiwatapeli wagonjwa wanaokwenda kupata matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Akamatwa akidaiwa kuuza nyama ya paka
Na Asifiwe George na Mwantum Saadi, Dar es Salaam
MUUZA mishikaki mmoja katika kituo cha daladala cha Temeke mwisho jijini Dar es Salaam maarufu kwa jina la Said Mishikaki, amekamatwa na kupigwa na wananchi kwa tuhuma za kuuza mishikaki ya nyama ya paka.
Said alikamatwa jana asubuhi baada ya taarifa kusambaa katika eneo hilo zikimtuhumu kwamba amekuwa na kawaida kuuza mishikaki ya nyama ya paka badala ya ng’ombe, mbuzi na wanyama wengine wanaoliwa.
Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio...
10 years ago
VijimamboDAKTARI FEKI AKAMATWA KATIKA TAASISI YA MIFUPA MUHIMBILI ( MOI )
9 years ago
Mwananchi20 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uXIVumFF7qg/VkNMCfINl4I/AAAAAAAIFVA/xumeSkVkzBQ/s72-c/20151111060808.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Utabibu wa kiafrika ni halali ama haramu ?
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mwanafunzi Chuo cha Utabibu ajifungua na kumtupa mtoto
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7uA50T4kGMA/U3WOK9z1PoI/AAAAAAAFiBM/t0Jerz6NkxY/s72-c/2.jpg)
Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania chatoa somo kwa Wanahabari jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uA50T4kGMA/U3WOK9z1PoI/AAAAAAAFiBM/t0Jerz6NkxY/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lM9hCvQ-bag/U3WOOX80znI/AAAAAAAFiBc/IR7DvNwspk0/s1600/3.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kampeni za ubunge zaanza kinyemela