Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utabibu wa kiafrika ni halali ama haramu ?

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,waganga wa jadi maarufu kama 'wafumu' wanalaumiwa kuwa ni waongo na walaghai je tiba yao ni halali ?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Akamatwa Muhimbili akidaiwa kufanya utabibu kinyemela

Maofisa Usalama wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamemkamata mtu anayedaiwa kutoa huduma kwa wagonjwa kinyume cha utaratiba na kwamba, amekuwa akiwatapeli wagonjwa wanaokwenda kupata matibabu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanafunzi Chuo cha Utabibu ajifungua na kumtupa mtoto

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Utabibu cha Kilimanjaro Christian Medical (KCMU), amejifungua mtoto katika choo cha Hospitali ya Rufani ya KCMC na kisha kumtupa kwenye kasha la takataka.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia

SAM_0161

Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.

SAM_0148

Ofisa Uvuvi Mfawidhi Kituo cha kuendeleza ufugaji samaki kanda ya kati, Bwana Renatus Charles Karumbete akitoa maelezo ya namna samaki wanavyozalishwa katika kituo hicho.

Na. Jumbe Ismailly

[IGUNGA] Kituo  cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...

 

11 years ago

Michuzi

Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania chatoa somo kwa Wanahabari jijini dar

Mlezi wa Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME),Mzee Kingunge Ngombale Mwiru (kushoto), akifungua mafunzo kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu tiba asilia, May 15,2014 katika ukumbi wa mikutano NIMR jijini Dar es Salaam,ambapo amewataka Watanzania kuondokana na imani potofu dhidi ya tiba asili na badala yake watumie ili kupona maradhi mbalimbali yanayowakabili (kulia),Mwenyekiti wa Chama cha Utabibu wa Dawa Asili Tanzania (ATME), Bw.Simba Abdulrahmani. Lucey...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Makinda ya Kiafrika yatakayoitikisa Ulaya

Baada ya kumalizika Fainali za Kombe la dunia huko Brazil, kipyenga kingine kimeshapulizwa barani Ulaya Katika Ligi Kuu mbalimbali.

 

9 years ago

Raia Mwema

Julius Nyerere, Mmajumui wa Kiafrika

WAKATI fulani mnamo mwaka 1958 Julius Nyerere, wakati huo tayari akiwa ni kiongozi wa chama cha T

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Ongeza mvuto kwa shanga za Kiafrika

Kwa miaka mingi, jamii za Kiafrika zilikuwa na mazoea yaliyojengewa msingi katika mila na utamaduni kupitia ulimbwende wa kunogesha vazi kwa ladha ya shanga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kupata chakula cha Kiafrika Uingereza

Ughaibuni, huwa ni gharama kwenda hotelini kila siku. Lakini kuna njia nyingine ambazo unaweza kuzitumia kupata chakula cha Kiafrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani