Njaa yaisukuma familia kula nyama ya paka
Siyo rahisi kwa mtu ambaye anapata chakula kutwa mara tatu, kuamini kuwa kuna binadamu ambao wanaweza kuishi hata siku tatu bila kupata hata mlo mmoja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Akamatwa akidaiwa kuuza nyama ya paka
Na Asifiwe George na Mwantum Saadi, Dar es Salaam
MUUZA mishikaki mmoja katika kituo cha daladala cha Temeke mwisho jijini Dar es Salaam maarufu kwa jina la Said Mishikaki, amekamatwa na kupigwa na wananchi kwa tuhuma za kuuza mishikaki ya nyama ya paka.
Said alikamatwa jana asubuhi baada ya taarifa kusambaa katika eneo hilo zikimtuhumu kwamba amekuwa na kawaida kuuza mishikaki ya nyama ya paka badala ya ng’ombe, mbuzi na wanyama wengine wanaoliwa.
Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio...
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
11 years ago
KwanzaJamii04 Jun
IRINGA WALISHWA NYAMA YA MIZOGA YA PUNDA, PAKA NA MBWA
10 years ago
Vijimambo18 Feb
MUUZA MISHIKIKA AKAMATWA NA NYAMA YA PAKA NA KISHA KUSULUBIWA NA WATEJA WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-CnoB2eFfIeQ%2FVOMcrzxA9PI%2FAAAAAAAAAkk%2FqjvS_JOmzc8%2Fs1600%2Fmis.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shenzhen yawa mji wa kwanza kupiga marufuku kula paka na mbwa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s72-c/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s640/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe47t87MaiIGg1mpHpR2NVEAbVO39MPPpKk0-QDlnRTsnVw8Cn-vDz2iEWm4Z4*O2FL0IYYh5l-dKy5ltpQ*FUS2/mpekezs.jpg)
MWANA KUMILIKI BUCHA SI KULA NYAMA DEILE!
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.
Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.
SHUHUDA...
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Auwawa kwa 'kula' nyama ya ng'ombe india