Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shenzhen yawa mji wa kwanza kupiga marufuku kula paka na mbwa

Hukumu hiyo ni hatua kali zaidi ya kuzuia ulaji wa nyama ya mwituni, baada ya kuhusishwa na virusi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mji wa Shenzhen nchini China waweka marufuku ya ulaji wa paka na mbwa

Mji wa Shenzhen umekuwa mji wa kwanza nchini China kupiga marufuku ya uuzaji na ulaji wa nyama ya mbwa na paka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa,Paka nyama zinazopendwa DRC

Mbwa na Paka ni kitoweo nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo

 

10 years ago

BBCSwahili

Utalii waathiri paka na mbwa Kenya

Je Utalii unaathiri vipi paka na mbwa nchini Kenya ?

 

11 years ago

KwanzaJamii

IRINGA WALISHWA NYAMA YA MIZOGA YA PUNDA, PAKA NA MBWA

Mwananchi huyu alikutwa akiuchuna mzoga wa punda huyu huko Migori wilayani Iringa. Maeneo mengi ya vijijini katika Mkoa wa Iringa yanalalamikiwa na wananchi kwamba wanalishwa mizoga ya punda, paka na mbwa. (Picha na Said Ng’amilo). Na Mathias Canal, Iringa WAKAZI wa Kitongoji cha Lugofu katika Kijiji cha Ilandutwa, Wilaya ya Iringa Vijijini, mkoani Iringa wamelaani kitendo cha baadhi ya wafanya biashara wa nyama kijijini hapo kuwalisha nyama ya paka, mbwa na punda pasipo...

 

11 years ago

Mwananchi

Njaa yaisukuma familia kula nyama ya paka

Siyo rahisi kwa mtu ambaye anapata chakula kutwa mara tatu, kuamini kuwa kuna binadamu ambao wanaweza kuishi hata siku tatu bila kupata hata mlo mmoja.

 

5 years ago

CCM Blog

MIRADI YA ULGSP YAWA KIVUTIO KWA WAGENI MJI WA SUMBAWANGA



 Barabara iliyotengezwa kupitia Mradi wa ULGSP mjini Sumbawanga
 Waziri wa OR – TAMISEMI Mh. Suleiman Jafo  akizungumza


Katika kuhakikisha maendeleo ya nchi yanamgusa kila mwananchi katika mikoa, Wilaya na Halmashauri nchini, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imepewa dhamana ya kusimamia programu ya uimarishaji miji (Urban Local Government Support Program – ULGSP) kwaajili ya kuimarisha halmashauri 18 za miji na manispaa kwa ufadhili wa Benki ya...

 

5 years ago

Michuzi

Miradi ya ULGSP yawa kivutio kwa wageni katika mji wa Sumbwanga



Katika kuhakikisha maendeleo ya nchi yanamgusa kila mwananchi katika mikoa, Wilaya na Halmashauri nchini, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imepewa dhamana ya kusimamia programu ya uimarishaji miji (Urban Local Government Support Program – ULGSP) kwaajili ya kuimarisha halmashauri 18 za miji na manispaa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia.

Hivi karibuni (2.6.2020) Waziri wa OR – TAMISEMI Mh. Suleiman Jafo ametembelea miradi mitatu inayotekelezwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo Pesa yawa ya kwanza duniani kugawa faida kwa wateja

1 (6)

Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo kuhusu kutoa gawio la kiasi cha shilingi bilioni 14.25 lililolimbikizwa kwenye akaunti ya mfuko wa fedha wa Tigo Pesa kwa ajili ya wateja wao. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na Meneja Masoko na Usambazaji wa Tigo Pesa Catherine Rutenge (kulia). 

2 (3)

Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu gawio la shilingi...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAWA MWENYEJI WA MKUTANO WA KWANZA WA WAKUU WA VYUO VYA KODI AFRIKA

01Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo akitoa neno kuwakaribisha wageni katika mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Vyuo vya Kodi Afrika uliohudhuriwa na wajumbe zaidi ya 50 kutoka katika taasisi za kodi barani Afrika, Mkutano huo umeandaliwa kwa ushirikiano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Taasisi za Kodi Afrika (ATAF), leo Jijini Dar es Salaam. 02Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Kodi Tanzani (ITA) Prof. Isaiah Jairo akiongea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani