Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mji wa Shenzhen nchini China waweka marufuku ya ulaji wa paka na mbwa

Mji wa Shenzhen umekuwa mji wa kwanza nchini China kupiga marufuku ya uuzaji na ulaji wa nyama ya mbwa na paka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Shenzhen yawa mji wa kwanza kupiga marufuku kula paka na mbwa

Hukumu hiyo ni hatua kali zaidi ya kuzuia ulaji wa nyama ya mwituni, baada ya kuhusishwa na virusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa,Paka nyama zinazopendwa DRC

Mbwa na Paka ni kitoweo nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo

 

10 years ago

BBCSwahili

Utalii waathiri paka na mbwa Kenya

Je Utalii unaathiri vipi paka na mbwa nchini Kenya ?

 

11 years ago

KwanzaJamii

IRINGA WALISHWA NYAMA YA MIZOGA YA PUNDA, PAKA NA MBWA

Mwananchi huyu alikutwa akiuchuna mzoga wa punda huyu huko Migori wilayani Iringa. Maeneo mengi ya vijijini katika Mkoa wa Iringa yanalalamikiwa na wananchi kwamba wanalishwa mizoga ya punda, paka na mbwa. (Picha na Said Ng’amilo). Na Mathias Canal, Iringa WAKAZI wa Kitongoji cha Lugofu katika Kijiji cha Ilandutwa, Wilaya ya Iringa Vijijini, mkoani Iringa wamelaani kitendo cha baadhi ya wafanya biashara wa nyama kijijini hapo kuwalisha nyama ya paka, mbwa na punda pasipo...

 

10 years ago

BBCSwahili

ISIS waweka mitego kulinda mji wa Mosul

Kundi la wanamgambo wa Islamic State limeunda mitego ardhini kuulinda mji huo kutoka kwa majeshi ya serikali

 

5 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI 420 WA KITANZANIA WALIOKO KATIKA MJI WA WUHAN NCHINI CHINA


Dare Es Salaam, 14 Februari 2020
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuwaondoa hofu na taharuki Watanzania hususan wazazi, ndugu na jamaa wa wanafunzi takribani 420 walioko katika jimbo la Hubei, mji wa Wuhan Nchini China, ambapo ndio kitovu cha maambukizi ya virusi vya homa ya Corona (COVID-19) kuwa hadi sasa hakuna mwanafunzi au Mtanzania yeyote aliyebainika kuambukizwa virusi hivyo na kuwasihi kuendelea kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea kufuatilia hali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waweka Viagra kwenye mvinyo China

Watengenezaji wa pombe nchini China waliongeza dawa ya kuongeza nguvu za kiume yaani Viagra katika maelfu ya chupa za pombe

 

5 years ago

Chronicles 99

Global Camera System Market Analysis 2020 Stryker Endoscopy, Fentex Medical, Aesculap, Smith & Nephew, Shenzhen China Medical

Global Camera System Market Analysis 2020 Stryker Endoscopy, Fentex Medical, Aesculap, Smith & Nephew, Shenzhen China Medical  Chronicles 99

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO


 Mwenyekiti mpya Suleiman Serera akishikana mkono na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Bw. Daninga Philip. Wengine katika picha ni uongozi mzima wa Watanzania wasomao Beijing.   Mwenyekiti aliyemaliza muda wake wa Umoja wa wanafunzi wanaosoma Beijing, China (TzBeijing ) Bw.Philip Daninga akiongea na wanachama wa umoja huo muda mfupi kabla ya zoezi la kupiga kura lililofanyika mwishoni mwa wiki hii kwenye Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania, China. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Bw....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani