Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISIS waweka mitego kulinda mji wa Mosul

Kundi la wanamgambo wa Islamic State limeunda mitego ardhini kuulinda mji huo kutoka kwa majeshi ya serikali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

MAMILIONI WAUKIMBIA MJI WA MOSUL

Mamilioni wanakimbilia usalama wao katika maeneo salama Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni. Wapiganaji wa kiislamu nchini humo wanaendelea na makabiliano yao ya kulidhibiti taifa hilo, hatua ambayo Marekani inaelezea kuwa ni hatari kubwa katika eneo hilo. ISIS, ni mojawepo ya kundi lililomeguka kutoka kwa mtandao wa Al Qaeda ambalo linadhibiti eneo kubwa la mashariki mwa Syria, magharibi na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamilioni waukimbia mji wa Mosul Iraq

Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mji wa Shenzhen nchini China waweka marufuku ya ulaji wa paka na mbwa

Mji wa Shenzhen umekuwa mji wa kwanza nchini China kupiga marufuku ya uuzaji na ulaji wa nyama ya mbwa na paka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taleban yalazimu jeshi kulinda mji wa Kunduz

Wajeshi wa Afghanistan wametangaza kuwa, wamewauwa zaidi ya wapiganaji 35 wa Taliban katika makabiliano makali waliyoianzisha leo

 

9 years ago

BBCSwahili

Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul

Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

10 years ago

CloudsFM

TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA

Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Palmyra yaitekwa na ISIS

Wapiganaji wa Islamic State wameuteka mji wa kale wa Palmyra nchini Syria kutoka majeshi yanayoiunga mkono serikali ya nchi hiyo.

 

5 years ago

Mwananchi

Magufuli, Museveni waweka historia

 Mkoa wa Tanga jana ‘ulitekwa’ na wakuu wa nchi za Tanzania na Uganda wakati wa tukio la kihistoria la uwekaji jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani