ISIS waweka mitego kulinda mji wa Mosul
Kundi la wanamgambo wa Islamic State limeunda mitego ardhini kuulinda mji huo kutoka kwa majeshi ya serikali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii11 Jun
MAMILIONI WAUKIMBIA MJI WA MOSUL
Mamilioni wanakimbilia usalama wao katika maeneo salama
Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.
Wapiganaji wa kiislamu nchini humo wanaendelea na makabiliano yao ya kulidhibiti taifa hilo, hatua ambayo Marekani inaelezea kuwa ni hatari kubwa katika eneo hilo.
ISIS, ni mojawepo ya kundi lililomeguka kutoka kwa mtandao wa Al Qaeda ambalo linadhibiti eneo kubwa la mashariki mwa Syria, magharibi na...
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mamilioni waukimbia mji wa Mosul Iraq
Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mji wa Shenzhen nchini China waweka marufuku ya ulaji wa paka na mbwa
Mji wa Shenzhen umekuwa mji wa kwanza nchini China kupiga marufuku ya uuzaji na ulaji wa nyama ya mbwa na paka.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Taleban yalazimu jeshi kulinda mji wa Kunduz
Wajeshi wa Afghanistan wametangaza kuwa, wamewauwa zaidi ya wapiganaji 35 wa Taliban katika makabiliano makali waliyoianzisha leo
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul
Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.
10 years ago
CloudsFM14 Aug
TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA
Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c4rTyZ2qy8g/VCkRQa9CPMI/AAAAAAAGmas/tFJ2OaYPX2M/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 May
Palmyra yaitekwa na ISIS
Wapiganaji wa Islamic State wameuteka mji wa kale wa Palmyra nchini Syria kutoka majeshi yanayoiunga mkono serikali ya nchi hiyo.
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Magufuli, Museveni waweka historia
 Mkoa wa Tanga jana ‘ulitekwa’ na wakuu wa nchi za Tanzania na Uganda wakati wa tukio la kihistoria la uwekaji jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania