MAMILIONI WAUKIMBIA MJI WA MOSUL
Mamilioni wanakimbilia usalama wao katika maeneo salama Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni. Wapiganaji wa kiislamu nchini humo wanaendelea na makabiliano yao ya kulidhibiti taifa hilo, hatua ambayo Marekani inaelezea kuwa ni hatari kubwa katika eneo hilo. ISIS, ni mojawepo ya kundi lililomeguka kutoka kwa mtandao wa Al Qaeda ambalo linadhibiti eneo kubwa la mashariki mwa Syria, magharibi na...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mamilioni waukimbia mji wa Mosul Iraq
10 years ago
BBCSwahili23 May
Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
ISIS waweka mitego kulinda mji wa Mosul
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul
10 years ago
CloudsFM14 Aug
TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA
Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Ngula kulipwa mamilioni
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Mamilioni waandamana Brazil
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Mzumbe yasamehewa mamilioni
NA SOLOMON MWANSELE,MBEYA
BARAZA la Madiwani wa Jiji la Mbeya limeridhia kusamehe deni la zaidi ya sh. bilioni 1.3 kwa Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Chuo hicho kilikuwa kinadaiwa kiasi hicho kutokana na kuuziwa kiwanja namba 8 kilichoko katika kitalu G eneo la Iwambi, ambapo kilikuwa kimelipa sh.1,070,000,000 kati ya sh. 2, 417,700,000 kilizokuwa kinadaiwa na jiji hilo.
Hayo yalifikiwa juzi, ambapo wajumbe wote walikubali kusamehe deni hilo ili uwe mchango wa halmashauri katika kusaidia kuinua sekta...
10 years ago
GPLSIMBA KULIPWA MAMILIONI