Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzumbe yasamehewa mamilioni


NA SOLOMON MWANSELE,MBEYA
BARAZA la Madiwani wa Jiji la Mbeya limeridhia kusamehe deni la zaidi ya sh. bilioni 1.3 kwa Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Chuo hicho kilikuwa kinadaiwa kiasi hicho kutokana na kuuziwa kiwanja namba 8 kilichoko katika kitalu G eneo la Iwambi, ambapo kilikuwa kimelipa sh.1,070,000,000 kati ya sh. 2, 417,700,000 kilizokuwa kinadaiwa na jiji hilo.
Hayo yalifikiwa juzi, ambapo wajumbe wote walikubali kusamehe deni hilo ili uwe mchango wa halmashauri katika kusaidia kuinua sekta...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni)



Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.
Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE


Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa  Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) Novemba 29, 2014 Isumba Lounge


Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014 kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...

 

10 years ago

Starts Second Round Of Curriculum Reviewing Process

Mzumbe kick


Mzumbe kick-starts second round of curriculum reviewing process
Daily News
MZUMBE University Business School has kick-started second round of curriculum reviewing. The process aims at making the curriculum conform to the fast changing world in areas of science, technology, social, economic and political arenas. The varsity's ...

 

10 years ago

Habarileo

Wahadhiri Mzumbe wapewa motisha

WAHADHIRI wa Chuo Kikuu Mzumbe wametakiwa kuendelea kufanya utafiti, ushauri wa kitaalamu na kutoa machapisho mbalimbali ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya tasnia ya elimu na taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzumbe kutoa kozi za gesi

>Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch cha Afrika ya Kusini kinaandaa mitalaa ya Shahada ya Uzamili katika menejimenti ya miradi mikubwa ya sekta za madini, gesi na mafuta zitakazofundishwa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano

CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...

 

10 years ago

IPPmedia

PAC hails Mzumbe varsity


IPPmedia
PAC hails Mzumbe varsity
IPPmedia
The Acting Chairperson of the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC), Aden Rage (second left) listens to the Acting Head of Library Services, Ms Reine Mdundo at Mzumbe University Dsm. Members of the Parliamentary Public Accounts Committee ...
Bunge team commends Mzumbe varsityDaily News

all 4

 

9 years ago

Daily News

Mzumbe holds leadership workshop


Mzumbe holds leadership workshop
Daily News
MZUMBE University Dar es Salaam Campus has organised a world-class leadership workshop with the view to empower individuals and organisations on managerial skills. Opening the workshop in Dar es Salaam, Mzumbe Deputy Vice-Chancellor ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani