Mzumbe yasamehewa mamilioni
NA SOLOMON MWANSELE,MBEYA
BARAZA la Madiwani wa Jiji la Mbeya limeridhia kusamehe deni la zaidi ya sh. bilioni 1.3 kwa Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Chuo hicho kilikuwa kinadaiwa kiasi hicho kutokana na kuuziwa kiwanja namba 8 kilichoko katika kitalu G eneo la Iwambi, ambapo kilikuwa kimelipa sh.1,070,000,000 kati ya sh. 2, 417,700,000 kilizokuwa kinadaiwa na jiji hilo.
Hayo yalifikiwa juzi, ambapo wajumbe wote walikubali kusamehe deni hilo ili uwe mchango wa halmashauri katika kusaidia kuinua sekta...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Nov
Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni)
Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.
Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yxqZN51jFu8/XlaKgOsYYFI/AAAAAAALfkE/Hq77cbPEG8QrIz_0hB7A9QN5r4J3RsIcQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE
Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...
10 years ago
Michuzi26 Nov
Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) Novemba 29, 2014 Isumba Lounge
Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014 kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...
10 years ago
Starts Second Round Of Curriculum Reviewing Process22 Jun
Mzumbe kick
Daily News
MZUMBE University Business School has kick-started second round of curriculum reviewing. The process aims at making the curriculum conform to the fast changing world in areas of science, technology, social, economic and political arenas. The varsity's ...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Wahadhiri Mzumbe wapewa motisha
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu Mzumbe wametakiwa kuendelea kufanya utafiti, ushauri wa kitaalamu na kutoa machapisho mbalimbali ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya tasnia ya elimu na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mzumbe kutoa kozi za gesi
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...
10 years ago
IPPmedia07 Mar
PAC hails Mzumbe varsity
IPPmedia
IPPmedia
The Acting Chairperson of the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC), Aden Rage (second left) listens to the Acting Head of Library Services, Ms Reine Mdundo at Mzumbe University Dsm. Members of the Parliamentary Public Accounts Committee ...
Bunge team commends Mzumbe varsityDaily News
all 4
9 years ago
Daily News09 Sep
Mzumbe holds leadership workshop
Daily News
MZUMBE University Dar es Salaam Campus has organised a world-class leadership workshop with the view to empower individuals and organisations on managerial skills. Opening the workshop in Dar es Salaam, Mzumbe Deputy Vice-Chancellor ...