Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni)



Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.
Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mkutano wawaliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) Novemba 29, 2014 Isumba Lounge


Sekretariet ya jumuiya ya waliosoma shule ya sekondari Mzumbe (Mzumbe Secondary School Alumni) inawataarifu wanajumuiya wote kuwa Jumamosi ya Tarehe 29 mwezi Novemba 2014 kutafanyika mkutano wa wanachama wote jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Jolly Club - Isumba Lounge kuanzia saa nane mchana.Tangu kuanzishwa kwake Jumuiya ya waliosoma Mzumbe Sekondari imeshirikiana na uongozi wa shule hiyo kuainisha maeneo mbalimbali ambayo jumuiya hiyo itashiriki kuyaboresha.Katika mkutano huo wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE


Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa  Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...

 

10 years ago

TheCitizen

Help the varsity expand, Mzumbe alumni advised

Mzumbe University plans to hold ‘Mzumbe Day’ some few months to come. During the event staff, students and all who graduated from the university will meet and discuss how to develop one of the oldest higher institutions in the country.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

'Mzumbe Day' to Incorporate Students, Alumni and Staff


IPPmedia
'Mzumbe Day' to Incorporate Students, Alumni and Staff
AllAfrica.com
Morogoro — zumbe University plans to hold 'Mzumbe Day' to enable its alumni, students and staff to meet and discuss how to further develop one of the oldest higher learning institutions in the country. The Acting Vice- Chancellor, Prof Josephat Itika said ...
University, foreign institution research on improvement of household life standardsIPPmedia

all 2

 

9 years ago

Michuzi

SIMBA CEMENT YAIPIGA JEKI MZUMBE SECONDARY

  Kaimu Mkuu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzumbe ya mkoani Morogoro, Bi. Jemma Kimolo akipokea msaada wa tani 30 za saruji kutoka kwa Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (Simba Cement), Diana Malambugi (wa pili kushoto) zilizolewa na kampuni hiyo kusaidia ukarabati wa majengo ya vyoo, mabweni na ofisi za walimu za shule hiyo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Saruji, Pongwe, Tanga jana. Wengine pichani ni maofisa wa kampuni na baadhi ya wanafunzi waliosoma Mzumbe.  Kaimu Mkuu Mkuu...

 

10 years ago

Daily News

Mzumbe school hailed for problem solving


Mzumbe school hailed for problem solving
Daily News
MZUMBE University's School of Public Administration and Management (SOPAM) has been described as crucial point where various management challenges facing leaders in villages, councils, institutions and the central government can be solved.

 

11 years ago

Dewji Blog

Invitation to Join Advanced Level Secondary Education at Wama-Nakayama Secondary School

mama-akikagua-mazingira-ya-Shule-kabla-ya-ufunguzi

Advertisement- Wama Nakayama Form Five 2014 Final by moblog

 

10 years ago

Starts Second Round Of Curriculum Reviewing Process

Mzumbe kick


Mzumbe kick-starts second round of curriculum reviewing process
Daily News
MZUMBE University Business School has kick-started second round of curriculum reviewing. The process aims at making the curriculum conform to the fast changing world in areas of science, technology, social, economic and political arenas. The varsity's ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani