Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afutiwa shitaka la kuuza nyama ya binadamu

>Mahakama ya Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera imemfutia mashitaka ya kuuza nyama ya binadamu, Pastori Nalingi Blanketi (43) na kumhukumu mwaka mmoja jela kwa kosa la kuingia na kuishi nchini kinyume na sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kuuza nyama ya binadamu

Mkazi wa Kijiji cha Kihinga, Kata ya Bugarama wilayani Ngara mkoani Kagera(jina tunalo), anashikiliwa katika kituo kidogo cha polisi cha kata hiyo baada ya kutuhumiwa kuuza kilo moja ya nyama ya binadamu kwa Sh100,000.

 

9 years ago

Mwananchi

10 years ago

Mtanzania

Akamatwa akidaiwa kuuza nyama ya paka

Na Asifiwe George na Mwantum Saadi, Dar es Salaam
MUUZA mishikaki mmoja katika kituo cha daladala cha Temeke mwisho jijini Dar es Salaam maarufu kwa jina la Said Mishikaki, amekamatwa na kupigwa na wananchi kwa tuhuma za kuuza mishikaki ya nyama ya paka.
Said alikamatwa jana asubuhi baada ya taarifa kusambaa katika eneo hilo zikimtuhumu kwamba amekuwa na kawaida kuuza mishikaki ya nyama ya paka badala ya ng’ombe, mbuzi na wanyama wengine wanaoliwa.
Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio...

 

11 years ago

Michuzi

WENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI


Baadhi ya mabucha yaliyofungwa.
Wauzaji wa Nyama wakiwa nje ya mabucha yao baada ya kugoma kuuza nyama. Baadhi ya mabucha yaliyofungwa. Na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...

 

10 years ago

Mtanzania

Sita wakamatwa kwa kuuza viungo vya binadamu

kamugishaNa Paul Kayanda, Kahama
JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewatia mbaroni watu sita wakiwa katika harakati za kuuza viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema watuhumiwa hao walikamatwa Mei 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Mtaa wa Phantom, Kata ya Nyasubi wilayani hapa.

Alisema katika msako huo ulioendeshwa kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Usitake ukitaka sitika ni shitaka

Kwa mara nyingine tena, Bongo inaonyesha mfano mzuri wa kilimo. Sehemu nyingine, unaanza kwa kufyeka majani kwanza, kisha baada ya kuona kwamba magugu yameondolewa, ile miti na visiki vinavyozuia kilimo vinaondolewa.

 

11 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHADEMA TUNDUMA AKABILIWA NA SHITAKA LA KUSHAMBULIA

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kata ya Tunduma katika Wilaya ya Momba,Mkoa Mbeya, Herode Jivava, (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa na mwanasheria wake Omary Ndamungu wakiwa nje ya mahakama ya Wilaya ya Mbozi mara baada ya kesi yake kuarishwa mpaka Mei 20 mwaka huu,kutokana mashahidi kushindwa kufika mahakamani. Mwenyekiti huyo ameshitakiwa na kwa kosa la kumfanyia shambulio la mwili mwana chama cha...

 

5 years ago

Michuzi

KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE

Na Mwandishi Wet u,Michuzi TV

KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.

Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.

Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...

 

10 years ago

Mwananchi

Papa Msofe afutiwa kesi ya mauaji

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kesi ya mauaji ya kukusudia iliyokuwa ikimkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake, Makongoro Joseph.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani