Paka mkubwa aonekana Paris
Polisi wa Ufaransa,askari wa zima moto na kikosi cha mbwa wanamsaka paka mkubwa aliyeingia mjini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Ushindi mkubwa kwa niaba ya paka Uturuki
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Huyu ndio mchezaji mkubwa aliyempoteza binamu yake katika shambulio la Paris na mwingine kunusurika kumpoteza dada yake
Kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Na Rabi Hume, wa Modewjiblog
Shambulio limelotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika jiji la Paris, Ufaransa wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na Ujerumani umeacha simanzi kwa kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Katika shambulio hilo ambalo linakadiliwa kuua watu zaidi 150 limepelekea Diarra kumpoteza binamu yake, Asta Diakote ambae alikuwa moja...
5 years ago
Contactmusic.Com10 Apr
Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A7j6gcdY98s/Ve34INcjIuI/AAAAAAAAxOo/ReLT-uhGhVY/s72-c/IMG_6381.jpg)
MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-A7j6gcdY98s/Ve34INcjIuI/AAAAAAAAxOo/ReLT-uhGhVY/s640/IMG_6381.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...
10 years ago
GPLKAKAKUONA AONEKANA DAR
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kim Jong-un aonekana hadharani
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyangumi wa tani 30 aonekana Mtwara
WAKAZI wa Msangamkuu, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na vitongoji vyake, jana walimiminika katika pwani ya Bahari ya Hindi kumshangaa samaki aina ya Nyangumi mwenye urefu wa futi 48 na tani...
10 years ago
Vijimambo22 May
RAIS NKURUNZIZA AONEKANA AKICHEZA MPIRA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fichef.bbci.co.uk%2Fnews%2Fws%2F660%2Famz%2Fworldservice%2Flive%2Fassets%2Fimages%2F2015%2F05%2F21%2F150521133616_burundi_rais_aonekana_akicheza_licha_ya_maandamano_624x351_bbc_nocredit.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fichef.bbci.co.uk%2Fnews%2Fws%2F624%2Famz%2Fworldservice%2Flive%2Fassets%2Fimages%2F2015%2F05%2F21%2F150521133515_burundi_rais_aonekana_akicheza_licha_ya_maandamano_624x351_bbc_nocredit.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fichef.bbci.co.uk%2Fnews%2Fws%2F624%2Famz%2Fworldservice%2Flive%2Fassets%2Fimages%2F2015%2F05%2F21%2F150521133430_burundi_rais_aonekana_akicheza_licha_ya_maandamano_624x351_bbc_nocredit.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fichef.bbci.co.uk%2Fnews%2Fws%2F624%2Famz%2Fworldservice%2Flive%2Fassets%2Fimages%2F2015%2F05%2F21%2F150521133354_burundi_rais_aonekana_akicheza_licha_ya_maandamano_624x351_bbc_nocredit.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fichef.bbci.co.uk%2Fnews%2Fws%2F624%2Famz%2Fworldservice%2Flive%2Fassets%2Fimages%2F2015%2F05%2F21%2F150521133316_burundi_rais_aonekana_akicheza_licha_ya_maandamano_624x351_bbc_nocredit.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogora wa kisiasa nchini mwake.
Rais Nkurunziza,alikuwa akisakata kabumbu ndani ya mji mkuu wa Bujumbura mji uliokumbwa na maandamano makubwa tangu atangaze nia ya...