Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAXIMO AJA NA KIFAA KINGINE CHA YANGA KUTOKA BRAZIL

 Mchezaji mpya wa Yanga, Emerson Oliveira Neves Roque akiwasalimia mashabiki wake timu hiyo, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere.  Mchezaji mpya wa Yanga, Emerson Oliveira Neves Roque akiwasalimia kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere.  Mchezaji mpya wa Yanga,Emerson Oliveira Neves Roque (katikati) mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere. Kushoto ni Andrey Coutinho
 Mchezaji mpya wa Yanga, Emerson Oliveira Neves...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maximo aaga Yanga arudi kwao Brazil

Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameondoka kurudi kwao Brazil na kuitakia klabu yake ya zamani kila la kheri.

 

11 years ago

GPL

MSHAMBULAJI KUTOKA BRAZIL ATUA YANGA

Coutinho akiwa katika pozi.
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mohammed Binda (kushoto), akiwa akiwa na Coutinho baada ya kuwasili uwanjani hapo.
Msemaji wa Yanga,…

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,Baada ya kuchapwa mabao 2-0 na mahasimu wao wa soka Simba SC katika mchezo wa ‘ Hisani Nani Mtani Jembe’ siku ya Jumamosi iliyopita, klabu ya Yanga SC imeamua kufikia maamuzi magumu ya kumfuta kazi kocha Marcio Maximo na ni wazi Mholanzi, Hans Van De Pluijm atachukua nafasi hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Yanga kumfukuza kazi kocha wao mara baada ya kufungwa na Simba. Ikumbukwe mwaka uliopita, Mholanzi, Ernie Brandts aliondoshwa baada ya kufungwa mabao 3-1...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI


pluijm ampigia saluti CoutinhoKocha mkuu wa Yanga. Hans van Der Pluijm.
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yashusha kifaa

HATIMAYE kiungo na nahodha wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko ametua jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga. Kamusoko alipokewa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), ambapo alipelekwa katika kikao na uongozi kwa mazungumzo.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yampa cheo kingine kocha wao

>Uongozi wa klabu ya Yanga umemwongezea  majukumu kocha wao mpya, Hans Van Der Plyum raia wa Uholanzi  kwa kumpa cheo cha Mkurugenzi wa Ufundi huku ukimtaka  awasilishe kwa maandishi ripoti yake kila wiki.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA BRAZIL 2014: Dakika 90 ni asilimia 20 tu za soka Brazil

>Unapofungua televisheni yako na kufaidi dakika 90 za soka za Kombe la Dunia ujue kuwa unafaidi asilimia 20 tu ya mchezo wenyewe. Asilimia 80 ya mchezo huo zipo nje ya uwanja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani