MSHAMBULAJI KUTOKA BRAZIL ATUA YANGA
![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6ouJdy1k-OQ5-WU8x8esaO0K*BBCAOBQJdGyyIuie45y4OILCysBbRVdpar73qU8S0MU2pTwmi0mViVW0AKyJY5/1.jpg?width=650)
Coutinho akiwa katika pozi. Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mohammed Binda (kushoto), akiwa akiwa na Coutinho baada ya kuwasili uwanjani hapo. Msemaji wa Yanga,…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAXIMO AJA NA KIFAA KINGINE CHA YANGA KUTOKA BRAZIL
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6gYwGXp5bJ6vO-juYYtBqaAAEfk5q5tmBSHr7P*xjCzyuydhSYir8nez3TXdWuSGUMTj4*eW1yNt7jo7wQWUgF/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KUTOKA BRAZIL 2014: Dakika 90 ni asilimia 20 tu za soka Brazil
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-35ea58qFejI*QhuCRY4Z8HRXpSVdgLXKuN3aLNLOA2aGk-fddAcdqc3y2VOZ3Qo-kZJVps6tJzWQHRVpvfmKY3/okwi.jpg?width=640)
OKWI ATUA YANGA SC
10 years ago
Mwananchi06 Aug
USAJILI : Mzimbabwe atua Yanga
11 years ago
Mwananchi01 Aug
UKOCHA: Nsajigwa atua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CojOOnWqmPbhBRu961w2QXL19VRlEtvqNGPmmaS5ay6NY*uCjFjEOLC5H3Anx180Q*5IRacsdPg7AMGAD5EAjRa/1dar.jpg)
Mbrazili mpya atua Yanga SC
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Mbrazil mwingine atua Yanga
MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka nchini Brazil, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ amewasili jijini Dar es Salaam jana mchana akitokea Sao Paulo, Brazil, tayari kwa kuanza kazi ya kuitumikia klabu ya Yanga....