UKOCHA: Nsajigwa atua Yanga
>Beki wa zamani wa Yanga, Shadrack Nsajigwa ameanza kazi rasmi ya kukinoa kikosi cha vijana cha timu hiyo (Yanga B), huku akiahidi kuwaandaa wachezaji kwa weledi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Nsajigwa kuinoa Yanga Kagame
KLABU ya Yanga imewateua Kocha Msaidizi, Mbrazil Leonardo Neiva na beki wa zamani wa timu hiyo na Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa ambaye ni kocha wa timu B kusafiri na kikosi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-35ea58qFejI*QhuCRY4Z8HRXpSVdgLXKuN3aLNLOA2aGk-fddAcdqc3y2VOZ3Qo-kZJVps6tJzWQHRVpvfmKY3/okwi.jpg?width=640)
OKWI ATUA YANGA SC
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CojOOnWqmPbhBRu961w2QXL19VRlEtvqNGPmmaS5ay6NY*uCjFjEOLC5H3Anx180Q*5IRacsdPg7AMGAD5EAjRa/1dar.jpg)
Mbrazili mpya atua Yanga SC
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Mbrazil mwingine atua Yanga
MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka nchini Brazil, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ amewasili jijini Dar es Salaam jana mchana akitokea Sao Paulo, Brazil, tayari kwa kuanza kazi ya kuitumikia klabu ya Yanga....
10 years ago
Mwananchi06 Aug
USAJILI : Mzimbabwe atua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJB-kCgU5ue-P05VxQK1JRGfCshUT5qXtWwnoO4KyT-UBbxRkKom*wbjHAOE6kl2AcTLMOO5W8ArJeNkafEoBKhO/11.gif?width=650)
Beki avunja mkataba, atua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*phjJk2ZI4LlyijnwgoqawFlC6kt1D*BWut5g*z2gvK-JQUWC0ptjC33xriqBhNe7b4f0PYzp0sEQ2Wzt2XdxcH/yanga2.jpg?width=650)
Aliyeinyima ubingwa Yanga, atua Simba