Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuzo ya Kumla Dumor 2020: Inamtafuta mwandishi chipukizi kutoka Afrika

BBC inamsaka mwandishi nyota wa Afrika kwa tuzo ya BBC ya Komla Dumor 2020.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwandishi chipukizi kutoka Zanzibar aja na ‘Paka wa Binti Hatibu’

Na Ali Othman Ali.
Mwandishi anayechipukia kwa kasi katika tasnia ya fasihi ya Kiswahili ambaye pia ni Mhadhiri wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha London, SOAS na Cambridge nchini Uingereza, Bwana Yussuf Shoka Hamad, hivi karibuni anatarajia kutoa kitabu chake kipya na cha kwanza kuchapishwa kinachoitwa; ‘Paka wa Binti Hatibu na Hadithi Nyingine’.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii kwa simu kutoka nyumbani kwake jijini London, Bwana Yussuf alisema; ‘ Msomi kama binadamu hufa,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC Komla Dumor aaga dunia

Mwandishi wa BBC Komla Dumor amefariki ghafla nyumbani kwake kutokana na mshtuko wa moyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nancy mshindi Tuzo la Komla Dumor

Nancy Kacungira ashinda tuzo la kwanza la kumuenzi Komla Dumor

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yazindua tuzo ya Komla Dumor

Shirika la habari la BBC linazindua tuzo kwa heshima ya aliyekuwa mtangazaji wake Komla Dumor, mwaka mmoja baada ya kifo chake akiwa na umri wa miaka 41.

 

9 years ago

Mwananchi

Kuitumia tuzo ya komla dumor kuondoa dhana ya mabaya

Kwa wafuatiliaji habari kwenye televisheni za nchi za Afrika Mashariki, ni nadra kutolijua jina la Nancy Kacungira.

 

10 years ago

Bongo5

Damian Soul: Ntakuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Grammy (Audio)

Damian Soul ni msanii mwenye ndoto kubwa. Muimbaji huyo wa ‘Ni Penzi’ ameiambia BBC World Service kuwa atakuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Grammy. “Nina matarajio makubwa sana,” amesema Damian kwenye interview hiyo iliyofanywa na mtangazaji wa BBC, Alan Kasujja aliyekuja jijini Dar es Salaam kumhoji. “Nitakuwa mwanamuziki wa kwanza wa […]

 

5 years ago

BBC

Komla Dumor Award 2020: Seeking a rising star of African journalism

BBC seeks future star of African journalism for the BBC World News Komla Dumor Award 2020.

 

11 years ago

Mwananchi

Komla Dumor, nyota ya Afrika iliyozama

“Nakifananisha kifo cha Komla Dumor, kuwa sawa na anguko la mbuyu uliomea katika ardhi yenye rutuba. Sikutarajia kama unaweza kuondoka mapema hivyo, ewe nyota angavu: Komla Dumor (41) alikuwa sura na sauti ya Afrika, kijana mchapakazi, mwenye weledi, aliyejaaliwa uthubutu.”

 

9 years ago

Mtanzania

Chipukizi Ronki kutoka kimapenzi

NA SHARIFA MMASI

CHIPUKIZI kwenye muziki wa Bongo Fleva, Ramadhan Jafar ‘Ronki’, yupo mbioni kutoka na wimbo wake wa kwanza wa kimapenzi alioupa jina ‘Mapenzi Siri’.

“Nimeingia kwenye familia ya muziki wa bongo fleva nikiwa nafahamu ushindani wa hali ya juu uliopo kwenye muziki wa sasa, lakini kipaji changu ndicho kinachonipa jeuri ya kuja kufanya vizuri siku zijazo,’’ alisema chipukizi huyo.

“Tayari nimeachia wimbo wa kwanza tangu nijikite kwenye muziki na ninamshukuru Mungu unaendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani