VITA YA MANENO KATI YA LE MUTUZ NA MWANASHERIA ALBERTO MSANDO YAPAMBA MOTO SOMA DONGO ALILILOTUPIWA LE MUTUZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpFk75IKJc/VME9B2l9NaI/AAAAAAAAXtk/8akGjTEmklk/s72-c/le%2Bmutuzii899.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
Alberto Msando, Nita “Invest”Kwenye Tasnia ya Filamu!!
Mwansheria Kijana, Alberto Msando ameyasema hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya moja kati ya filamu za kibongo, ikiwaonyesha watu wawili wakiwa na bastola amabayo haina magazine.
“Seriously sina tatizo na bongo movie. Ni washkaji zangu sana. Ila kwa hii picha wanaonewa. Ni marafiki zangu. Wako poa mno. Na wanajitahidi. Siku zote mimi nitaendelea kuwasapoti. Siwezi kununua DVD ambazo sio original. Na wala sitajali kiingereza cha "I lap u xoxo". Najua wanajitahidi. Na I will even...
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Le Mutuz Amfagilia Tena Wema!!
PEACE JAMANI AMANI PEOPLE hata kama humpendi yeye lakini HESHIMU NYOTA YAKE cause tatizo sio yeye ila NYOTA and guys lets support her MBUNGE MTARAJIWA and yes I said it STOP HATING I mean guys TUPENDANE LIIFE IS TOO SHORT narudia huwezi KUMCHUKIA MTU USIYEMJUA NA ASIYEKUHUSU KAMA WEWE BINAFSI SIO A DEAD MAN WALKING mazafantazz ndio maana unataka na WENGINE WAFWE KAMA WEWE ...and wacha hizo CHUKI NA.WIVU WAKO matatizo yako ya maisha ni yako mwenyewe pigana nayo mwenyewe kila mtu ana yake na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--MV5WxyBa2A/VWEuneaC9cI/AAAAAAAHZco/ObPtBIZG0Dk/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Vita ya Ray C na Zamaradi Yapamba Moto
Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa ni maneno ya kejeli ya mtangazaji zamaradi mketema kwa mwanamuziki Ray C.
Hivi karibuni Zamaradi aliposti picha ya mwanae kwenye mtandao wa Instagram akim wish Happy birthday, uku aki repost baadhi ya pongezi kutoka kwa baadhi ya mastaa na mashabiki mbali mbali wa mtangazaji huyo, kitendo ambacho...
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
PICHA:Lulu Akilabata na Le Mutuz Hotelini
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu jana alionekana viwanja vya Hilton Double Tree Hotel akiwa anavinjali na mzee mzima Le Mutuz anaejiita “The King Of All Bongo Social Media Network”.
Wakiwa kwenye viwanja vya hotelini hapo wakiwa wenye nyuso za furaha na mbele yao kuna meza yenye glass mbili za vinywaji, Le Mutuz ambae jina lake halisi ni Wiliam Malecela alizitupia picha hizi mtandaoni na wakiwa katika mpozi mbalimbali na kuandika;
“Leo ni all my Super...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda
William Malecela ‘Le Mutuz’
STORI: MWANDISHI WETU
NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akijitapa kwamba amewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’, jambo lililosababisha wachangiaji wamshukie vikali kwa maneno ya kuudhi.
Mwigizaji maarufu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’
Katika ujumbe wake, Le Mutuz ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Saba wa Tanzania...
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!
The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka
“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G_J8BMUcJQE/VPQ6qVxAncI/AAAAAAAApSA/zsxVlaFgbqM/s72-c/lemutuzzzzsss.jpg)
JITIRIRISHE ALICHOKISEMA LE MUTUZ JUU YA KIFO CHA KOMBA NA MAISHA YA WATU WA UGHAIBUNI
![](http://4.bp.blogspot.com/-G_J8BMUcJQE/VPQ6qVxAncI/AAAAAAAApSA/zsxVlaFgbqM/s640/lemutuzzzzsss.jpg)
11 years ago
GPL08 Jan
MWANASHERIA WA ZITTO KABWE, ALBERT MSANDO AKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA HUKUMU