Le Mutuz Amfagilia Tena Wema!!
PEACE JAMANI AMANI PEOPLE hata kama humpendi yeye lakini HESHIMU NYOTA YAKE cause tatizo sio yeye ila NYOTA and guys lets support her MBUNGE MTARAJIWA and yes I said it STOP HATING I mean guys TUPENDANE LIIFE IS TOO SHORT narudia huwezi KUMCHUKIA MTU USIYEMJUA NA ASIYEKUHUSU KAMA WEWE BINAFSI SIO A DEAD MAN WALKING mazafantazz ndio maana unataka na WENGINE WAFWE KAMA WEWE ...and wacha hizo CHUKI NA.WIVU WAKO matatizo yako ya maisha ni yako mwenyewe pigana nayo mwenyewe kila mtu ana yake na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpFk75IKJc/VME9B2l9NaI/AAAAAAAAXtk/8akGjTEmklk/s72-c/le%2Bmutuzii899.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKzqpZGuGxJce810u1xKLtDXHGBxX1CPHsB8lsN3yIw0n6XQ1O2mUlruIb3IJBCrVCNKToFkbUfX*P-6l0GNkef/wema7777.jpg)
WEMA, KAJALA TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvPJfqg64Iworr2E0gxVlxjHF-YRGTNFOEYyGtedQrvnNBFFq687fHDghJxUGHoiZAlEVaxIGly58wHtvnlubCW/WEMA.jpg)
WEMA KORTINI TENA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7WneKZRQVvpPl3Y4qQggDhsy1GhSB3wTq3rS1YBHZDnnuE86c938LDykW1eVrBYtccFTyX7C*r34xGnD57MD4sAoh/20150618234727.jpg?width=650)
BATULI, WEMA HAWAIVI TENA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrRrf5tVLvjTIIDECCpLWslZGsoWXlsi2bSRlkDYmuaDEkBR-a27e7XXdF1ISI0qfzTKNG7Sqlwe-eGJz8N1WT6/wema.jpg?width=650)
WEMA SEPETU ATIBUA TENA
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Wema Sepetu,Nuh Mziwanda Kimenuka Tena!
Mastaa wa Bongo,Wema Sepetu na msanii wa bongo fleva,Nuh Mziwanda wameingia tena kwenye bifu baada ya kujibizana kupitia kwenye mtandao wa Instagram.
Nuh amekuwa akimtuhumu Wema baada ya kuvujisha sauti aliyomrekodi kwenye simu akisikika msanii huyo akimtongoza mrembo huyo ambapo mpenzi wake Shilole aliipata na kuzua tafrani kwa wapeni hao hali ilisababisha kuachana na baadaye kupatanishwa.
upitia akaunti ya Instagram Nuh Mziwanda aliandika hivi:
Nakupa hongera kwa kufanikiwa kutoa amani...
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema Azidi Kung’ara, Aukwaa Ubalozi Tena
Mrembo wa Tanzania, muigizaji na mjasiriamali Wema Sepetu, Amesign makubaliano ya kuwa Balozi wa Hospital ya Kimataifa ya macho Iliyopo Ali hassan mwinyi Road katika jengo la Tropical House.....
Mkataba huu ni wa mwaka mmoja.. Wema amehaidi kuwa balozi wa hospitali hiyo iliyokuja na mitambo mpya ambayo itawezesha vijana wenye umri chini ya miaka 35 wanaotumia miwani kuacha kabisa utumiaji wa miwani kwakuwa wanauwezo wa kuondoa swala la uvaaji miwani kwa vijana.
By Martin Kadinda, Meneja wa...
10 years ago
Bongo Movies15 May
Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya inayokwenda kwa jina la Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen 'JB' wakiwa 'lokesheni'.
Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.
Jionee kipande cha kazi hiyo HAPA
10 years ago
Bongo Movies25 May
Leo Kajala Awashukuru Wema na Petitman, Afungua Milango kwa Urafiki Tena
Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...
Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...