BATULI, WEMA HAWAIVI TENA!
![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7WneKZRQVvpPl3Y4qQggDhsy1GhSB3wTq3rS1YBHZDnnuE86c938LDykW1eVrBYtccFTyX7C*r34xGnD57MD4sAoh/20150618234727.jpg?width=650)
Mwisho wa reli? Urafiki wa mastaa wawili wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ unadaiwa kupoteza mwelekeo baada ya wawili hao kusemekana hawaivi tena kama ilkivyokuwa huko nyuma walipoanza Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mastaa wawili wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Yobnesh Yusuf ‘Batuli’. Habari kutokwa kwa mnyetishaji wetu wa kuaminika zilieleza kuwa, hali imekuwa tofauti na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Liewig, viongozi Stand hawaivi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvPJfqg64Iworr2E0gxVlxjHF-YRGTNFOEYyGtedQrvnNBFFq687fHDghJxUGHoiZAlEVaxIGly58wHtvnlubCW/WEMA.jpg)
WEMA KORTINI TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKzqpZGuGxJce810u1xKLtDXHGBxX1CPHsB8lsN3yIw0n6XQ1O2mUlruIb3IJBCrVCNKToFkbUfX*P-6l0GNkef/wema7777.jpg)
WEMA, KAJALA TENA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrRrf5tVLvjTIIDECCpLWslZGsoWXlsi2bSRlkDYmuaDEkBR-a27e7XXdF1ISI0qfzTKNG7Sqlwe-eGJz8N1WT6/wema.jpg?width=650)
WEMA SEPETU ATIBUA TENA
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Le Mutuz Amfagilia Tena Wema!!
PEACE JAMANI AMANI PEOPLE hata kama humpendi yeye lakini HESHIMU NYOTA YAKE cause tatizo sio yeye ila NYOTA and guys lets support her MBUNGE MTARAJIWA and yes I said it STOP HATING I mean guys TUPENDANE LIIFE IS TOO SHORT narudia huwezi KUMCHUKIA MTU USIYEMJUA NA ASIYEKUHUSU KAMA WEWE BINAFSI SIO A DEAD MAN WALKING mazafantazz ndio maana unataka na WENGINE WAFWE KAMA WEWE ...and wacha hizo CHUKI NA.WIVU WAKO matatizo yako ya maisha ni yako mwenyewe pigana nayo mwenyewe kila mtu ana yake na...
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Wema Sepetu,Nuh Mziwanda Kimenuka Tena!
Mastaa wa Bongo,Wema Sepetu na msanii wa bongo fleva,Nuh Mziwanda wameingia tena kwenye bifu baada ya kujibizana kupitia kwenye mtandao wa Instagram.
Nuh amekuwa akimtuhumu Wema baada ya kuvujisha sauti aliyomrekodi kwenye simu akisikika msanii huyo akimtongoza mrembo huyo ambapo mpenzi wake Shilole aliipata na kuzua tafrani kwa wapeni hao hali ilisababisha kuachana na baadaye kupatanishwa.
upitia akaunti ya Instagram Nuh Mziwanda aliandika hivi:
Nakupa hongera kwa kufanikiwa kutoa amani...
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema Azidi Kung’ara, Aukwaa Ubalozi Tena
Mrembo wa Tanzania, muigizaji na mjasiriamali Wema Sepetu, Amesign makubaliano ya kuwa Balozi wa Hospital ya Kimataifa ya macho Iliyopo Ali hassan mwinyi Road katika jengo la Tropical House.....
Mkataba huu ni wa mwaka mmoja.. Wema amehaidi kuwa balozi wa hospitali hiyo iliyokuja na mitambo mpya ambayo itawezesha vijana wenye umri chini ya miaka 35 wanaotumia miwani kuacha kabisa utumiaji wa miwani kwakuwa wanauwezo wa kuondoa swala la uvaaji miwani kwa vijana.
By Martin Kadinda, Meneja wa...
10 years ago
Bongo Movies25 May
Leo Kajala Awashukuru Wema na Petitman, Afungua Milango kwa Urafiki Tena
Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...
Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...
10 years ago
Bongo Movies16 May
Wema Asema Hampendi Tena Diamond, Hatishwi na Zari, Yeye ni Team Kiba
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amesema alipokuwa akihojiwa na Sebo mtangazaji wa EFM, kwenye kipengele kiitwacho Kabali ambapo wema aliambiwa ajibu maswali kadhaa kama ndiyo au hapana na badaye kupewa nafasi ya kifafnua.
Wame aliulizwa kama bado anampenda Diamond, na kama Zari ni tishio kwake kwa upande wa fasheni ambapo yote hayo Wema alijibu hapana na kijibu ndiyo alipoulizwa kama yeye ni Team Kiba.
Akifafanua kuhusu kuhusu kutompenda tena Diamond Wema alisema kuwa kila kimkumbuka...