Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leo Kajala Awashukuru Wema na Petitman, Afungua Milango kwa Urafiki Tena

Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...

Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Leo Kajala Atoa Kinyongo, Kwa Mara Nyingine Awashukuru Wema na Petitman na Kufungua Milango ya Urafiki Tena

Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...

Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...

 

10 years ago

GPL

WEMA, KAJALA TENA!

Brighton Masalu
MAJANGA! Wasanii wawili mahasimu katika tasnia ya filamu, Kajala Masanja na Wema Sepetu ‘Madam’ wametengeneza tena vichwa vya habari baada ya kukutana ndani ya klabu ya usiku ya Maisha iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na kuzua minong’ono miongoni mwa wadau wengi wa burudani, Risasi Mchanganyiko linakupa hatua kwa hatua. Msanii wa filamu Bongo,Kajala Masanja...

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

10 years ago

Mwananchi

Shein afungua milango kwa wawekezaji Ulaya

Nchi za Magharibi zimetakiwa kuongeza jitihada zaidi kuhamasisha ukuaji wa viwanda barani Afrika ili zizalishe bidhaa zinazovutia masoko ya dunia badala ya kusafirisha malighali kutoka Afrika kwenda katika nchi hizo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Urafiki wa Wema na Aunt Ezekiel Warejea Kwa Kishindo

Baada ya urafiki wao kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wameonyesha kumaliza tofauti zao na kurudisha urafiki wao kama ilivyo kuwa awali.

Urafiki wa Wema na Aunt ulionekana kuyumba na kufikia hatua ya Wema kutohudhuria baby shower party ya Aunt ambapo Aunt alidai kumualika Wema na hata havi karibuni aunt alipojifungua mtoto Wema hakusema chochote kwenye ukurasa wake mtandaoni ukizingatia kuwa wakati wa ushosti...

 

9 years ago

Bongo5

Msechu akiri kuwa yeye si mwandishi mzuri, afungua milango kwa yeyote kumwandikia nyimbo zake

Msechu

Peter Msechu ni miongoni mwa wasanii wachache ambao hawaoni shida kukiri kuwa si wazuri kwenye upande wa uandishi wa nyimbo, licha ya kuwa na kipaji na uwezo mkubwa wa kuimba na kucheza vyombo vya muziki.

Msechu

Baadhi ya wasanii (wa Bongo) huwa hawapendi kusema ukweli pale wanapoandikiwa nyimbo na wasanii wengine, kwa kudhani watu wakijua wameandikiwa inaweza kuwapunguzia thamani.

Msechu ambaye ameachia wimbo mpya wiki iliyopita, amesema kuwa baada ya kugundua kuwa sio mzuri kwenye upande wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Petitman: Bora Ninyang'anywe Mke Kuliko Kuachana na Wema Sepetu

Mfanyakazi wa kampuni ya Endless Fame, Petitman  ambaye mara zote ameonekana kuwa karibu sana na bosi wake , Wema Sepetu  amesema kamwe hawezi kuacha kuwa karibu na Wema eti kwa sababu  Wema  na Diamond wameachana, ukizingatia kuwa Pititman  na Diamond ni mtu na shemeji yake. (Petitman amemuoa dada yake Diamond, Esma)

Kauli hiyo inaashiria kwamba Petitman yupo tayari kunyang'anywa mke endapo uhusiano wake na Wema Sepetu hautaipendeza familia ya Diamond kuliko kuvunja uhusiano na Wema Sepetu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani