MAMILIONI YATENGWA KUMPORA DIAMOND MTOTO!
![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWCzn*10thJ4XW2Wrz6oM4SIt*hkGiDsXhUYD2ZKkMudwyRG*UIi4-b1YszJMzN3MOOLACEgGQskPPxSyhKb7bIp/Diamond.gif?width=650)
Sakata la yule jamaa aitwaye King Lawrence, raia wa Uganda mwenye maskani yake nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ anayedai kuwa mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ siyo wa mwanamuziki huyo, limechukua sura mpya.Jamaa huyo amefunguka upya kwamba, ametenga...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Mamilioni yatengwa kuikabili dengue
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCSFIsjC-HkN4PnkITv2ZBga2OREaooyR95rXiJaxLD9RNhNk1bDKD3D41H0cX68DxtigQng*0oAlYOCOxlf0SA/ghfhfh.gif?width=650)
MIMBA YA ZARI YAMPA MAMILIONI DIAMOND
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Wema Ampeleka Diamond Polisi, Kisa ni Deni la Mamilioni
<span 1.6em;"="">Mwigizaji wa filamu nchini Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda kinyume makubaliano yao.
Muhusika mkuu...
9 years ago
Bongo510 Dec
Daktari Bingwa adaiwa kumpa Diamond mamilioni kwa kazi hii
![12346294_1699335430289433_1328544037_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12346294_1699335430289433_1328544037_n-300x194.jpg)
Ile kauli ‘fedha huenda kwa wenye nazo’ haikukosewa sababu huo ndio ukweli.
Si kawaida kwa wasanii wa Tanzania kulipwa fedha wakati wanapokuwa wakiachia single zao lakini sio kwa Diamond.
Wakati ambapo mashabiki wake wanasubiria kwa hamu wimbo wake mpya Utanipenda! unaotoka Ijumaa hii, imebainika kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi, Dr Mwaka amemmwagia Diamond mamilioni ya fedha ili kuitangaza kliniki yake iliyopo Ilala Bungoni.
Taarifa hizo zinadai kuwa hiyo ni sababu pia Diamond...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Alalamikia GGM kumpora ardhi
KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGM) inatuhumiwa kumpora mzawa, Hosea Katampa, eneo lake lililopo Lijeti namba tatu licha ya kwenda mahakamani kulidai na kupewa kihalali. Katampa alitoa malalamiko hayo juzi...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
... Dar es salaam yatengwa
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Urusi yatengwa katika kundi la G7
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TOrOCfb9Gy4/VicVRWNCS2I/AAAAAAAIBbw/1byKcVlwFM8/s72-c/032-1.jpg)
MASHALI AMDUNDA BIGRIGHT NA KUMPORA SIMU NA PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TOrOCfb9Gy4/VicVRWNCS2I/AAAAAAAIBbw/1byKcVlwFM8/s320/032-1.jpg)