Daktari Bingwa adaiwa kumpa Diamond mamilioni kwa kazi hii
Ile kauli ‘fedha huenda kwa wenye nazo’ haikukosewa sababu huo ndio ukweli.
Si kawaida kwa wasanii wa Tanzania kulipwa fedha wakati wanapokuwa wakiachia single zao lakini sio kwa Diamond.
Wakati ambapo mashabiki wake wanasubiria kwa hamu wimbo wake mpya Utanipenda! unaotoka Ijumaa hii, imebainika kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi, Dr Mwaka amemmwagia Diamond mamilioni ya fedha ili kuitangaza kliniki yake iliyopo Ilala Bungoni.
Taarifa hizo zinadai kuwa hiyo ni sababu pia Diamond...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 May
Daktari bingwa afa kwa dengue
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Daktari bingwa KCMC asotea mafao kwa miaka 10
11 years ago
GPL
MAMA ANASWA KWA KUMPA KAZI NZITO MTOTO
11 years ago
Habarileo04 Jul
Adaiwa kubaka, kumpa ujauzito mwanafunzi
MKAZI wa kijiji cha Kasovo, Joseph Ayoub (20) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Nkasi kujibu mashitaka mawili ya kumbaka na kumpatia ujauzito mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 17.
11 years ago
GPL
BWANA WA WASTARA ADAIWA KUMPA MIMBA MHUDUMU
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.
Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.
Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Mchumi adaiwa kutafuna mamilioni
11 years ago
Michuzi17 Apr
Daktari Bingwa at Work
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii