Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari Bingwa adaiwa kumpa Diamond mamilioni kwa kazi hii

12346294_1699335430289433_1328544037_n

Ile kauli ‘fedha huenda kwa wenye nazo’ haikukosewa sababu huo ndio ukweli.

12346294_1699335430289433_1328544037_n

Si kawaida kwa wasanii wa Tanzania kulipwa fedha wakati wanapokuwa wakiachia single zao lakini sio kwa Diamond.

Wakati ambapo mashabiki wake wanasubiria kwa hamu wimbo wake mpya Utanipenda! unaotoka Ijumaa hii, imebainika kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi, Dr Mwaka amemmwagia Diamond mamilioni ya fedha ili kuitangaza kliniki yake iliyopo Ilala Bungoni.

Taarifa hizo zinadai kuwa hiyo ni sababu pia Diamond...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Daktari bingwa afa kwa dengue

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Akili nchini, Gilbert Buberwa amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa dengue.

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari bingwa KCMC asotea mafao kwa miaka 10

Daktari bingwa wa zamani wa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Dk Fulgence Mosha anasotea mafao yake ya kiinua mgongo na pensheni kwa miaka 10 mfululizo bila mafanikio.

 

11 years ago

GPL

MAMA ANASWA KWA KUMPA KAZI NZITO MTOTO

Chande Abdallah na Gladness Mallya
MAMA mmoja maarufu kwa jina la mama Mpare (pichani), mkazi wa Kimara King’ongo jijini Dar es Salaam amenaswa kwa kosa la kumfanyisha mwanaye kazi nzito zisizoendana na umri wake wa miaka 13 (picha ndogo). Mama mmoja maarufu kwa jina la mama Mpare (pichani), mkazi wa Kimara King’ongo jijini Dar es Salaam aliyenaswa kwa kosa la kumtumikisha mwanaye wa miaka 13 kazi nzito. ...

 

11 years ago

Habarileo

Adaiwa kubaka, kumpa ujauzito mwanafunzi

MKAZI wa kijiji cha Kasovo, Joseph Ayoub (20) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Nkasi kujibu mashitaka mawili ya kumbaka na kumpatia ujauzito mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 17.

 

11 years ago

GPL

BWANA WA WASTARA ADAIWA KUMPA MIMBA MHUDUMU

Na Gladness Mallya na Hamida Hassan
MSANII wa filamu za Kibongo ambaye ni Mtangazaji wa Channel Ten, Bond Bin Sinan, anadaiwa kumpa mimba mhudumu wa baa maarufu ya Break Point (BP) iliyopo Kijitonyama, Dar, anayejulikana kwa jina moja la Grace (pichani). Mhudumu wa baa anayejulikana kwa jina moja la Grace anayedaiwa kupewa mimba na Msanii wa filamu za Kibongo, Bond bin… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito

girl raped

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa  Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.

Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.

Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchumi adaiwa kutafuna mamilioni

>Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Dodoma juzi lilimfukuza kazi Mchumi wa Manispaa hiyo, Isack Kissa kwa tuhuma za wizi wa mamilio ya fedha.

 

11 years ago

Michuzi

Daktari Bingwa at Work

With salams and jambo from IZAAS Dr. Nice Rutabasibwa(Neurosurgeon) from Muhimbili Hospital Dar es salam, and Dr. Mazima( Chief Surgeon)at Mugana Hospital joined hands to help the man with the BIG PILLOW On the mobile phone with IZAAS administration the man with the BIG PILLOW SAID............I HAVE CHANGED my mind, i don't want to be operated, please help me to go back home to my family. But at the end he lost his pillow, kindly read below. Mubaarak Abdullah.

 

10 years ago

Michuzi

Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii

Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa namba yake maalumu kwa ajili ya Wananchi kumjulia hali na kumpa pole,ambapo atapokea ujumbe wako na kuujibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani