BWANA WA WASTARA ADAIWA KUMPA MIMBA MHUDUMU
![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH2-XWZd8GAKiOhjR5*ylABlK-WnDlS8fR7PcHcl0KF3K7PoveiXUatJjIuXtaIrkiBYa9vqOG-QDEVidxBojBaA/bond.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya na Hamida Hassan MSANII wa filamu za Kibongo ambaye ni Mtangazaji wa Channel Ten, Bond Bin Sinan, anadaiwa kumpa mimba mhudumu wa baa maarufu ya Break Point (BP) iliyopo Kijitonyama, Dar, anayejulikana kwa jina moja la Grace (pichani). Mhudumu wa baa anayejulikana kwa jina moja la Grace anayedaiwa kupewa mimba na Msanii wa filamu za Kibongo, Bond bin… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jul
Adaiwa kubaka, kumpa ujauzito mwanafunzi
MKAZI wa kijiji cha Kasovo, Joseph Ayoub (20) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Nkasi kujibu mashitaka mawili ya kumbaka na kumpatia ujauzito mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 17.
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.
Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.
Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzQsf22ZduaeY5sjPHSfr6lbKTfqxYDxFOqKhoARu0zuCD1hIt8iGybMHz-iRTHaVfm0vNkEbdxuM2umBaiwc2Bm/mbwa.jpg)
ANAYEDAIWA KUMPA MIMBA MBWA KORTINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLrodH6PkFgsRdTYPPJ6O7agSPYMJNNBTzNqDOj6WQbdZcv2G0cRlbGBVusG7VMaCed64HwrDZH1ER-0V-Ab7EWF/1.jpg?width=650)
WOLPER AMPIGA MIZINGA BWANA WA WASTARA
11 years ago
Habarileo12 Mar
Jela miaka 10 kwa kumpa mimba mwanafunzi
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imemhukumu mfanyabiashara wa mbuzi, Adam Shaban Hole (46) kwenda jela miaka 10 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi, kushiriki kumtoa mimba na kusababisha kifo chake.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi
11 years ago
Habarileo01 Apr
Atupwa jela miaka 65 kwa kumpa mimba mwanawe
MKAZI wa Mtaa wa Uhamila katika mji mdogo wa Rujewa, mkoani Mbeya, amehukumiwa miaka 65 jela kutokana na makosa matatu tofauti, yaliyotokana na kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa.
9 years ago
Bongo510 Dec
Daktari Bingwa adaiwa kumpa Diamond mamilioni kwa kazi hii
![12346294_1699335430289433_1328544037_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12346294_1699335430289433_1328544037_n-300x194.jpg)
Ile kauli ‘fedha huenda kwa wenye nazo’ haikukosewa sababu huo ndio ukweli.
Si kawaida kwa wasanii wa Tanzania kulipwa fedha wakati wanapokuwa wakiachia single zao lakini sio kwa Diamond.
Wakati ambapo mashabiki wake wanasubiria kwa hamu wimbo wake mpya Utanipenda! unaotoka Ijumaa hii, imebainika kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi, Dr Mwaka amemmwagia Diamond mamilioni ya fedha ili kuitangaza kliniki yake iliyopo Ilala Bungoni.
Taarifa hizo zinadai kuwa hiyo ni sababu pia Diamond...