Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchumi adaiwa kutafuna mamilioni

>Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Dodoma juzi lilimfukuza kazi Mchumi wa Manispaa hiyo, Isack Kissa kwa tuhuma za wizi wa mamilio ya fedha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Adaiwa kutafuna fedha zilizochangwa na wazazi

POLISI wilayani Kahama mkoani Shinyanga inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Kilima A, Simon Soka kwa tuhuma za wizi wa Sh milioni 3.6 zilizochangwa na wazazi ili kukarabati jengo na ununuzi wa madawati.

 

9 years ago

Bongo5

Daktari Bingwa adaiwa kumpa Diamond mamilioni kwa kazi hii

12346294_1699335430289433_1328544037_n

Ile kauli ‘fedha huenda kwa wenye nazo’ haikukosewa sababu huo ndio ukweli.

12346294_1699335430289433_1328544037_n

Si kawaida kwa wasanii wa Tanzania kulipwa fedha wakati wanapokuwa wakiachia single zao lakini sio kwa Diamond.

Wakati ambapo mashabiki wake wanasubiria kwa hamu wimbo wake mpya Utanipenda! unaotoka Ijumaa hii, imebainika kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi, Dr Mwaka amemmwagia Diamond mamilioni ya fedha ili kuitangaza kliniki yake iliyopo Ilala Bungoni.

Taarifa hizo zinadai kuwa hiyo ni sababu pia Diamond...

 

10 years ago

Mwananchi

PROFESA MBAGA: Mchumi aliyetumikia Canada, Benki ya Dunia

>Taifa lolote duniani haliwezi kuendelea bila kuwa na wachumi wanaopima na kuweka mizania ya kiuchumi kwa lengo la kusaidia ukuaji wake na kusonga mbele.

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

10 years ago

Michuzi

MCHUMI WA BOT AELEZA SABABU ZA KUSHUKA NA KUPANDA GHAFLA KWA THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA

Mchumi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Lusajo Mwankemwa akielezea sababu za kushuka na kupanda ghafla kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania katika banda la BOT viwanja vya SabaSaba jijjini Dar es salaam Juni 30, 2015

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viapo kutafuna mil. 500/-

BUNGE Maalumu la Katiba litatumia zaidi ya sh milioni 500 kwa siku tatu kama posho za wajumbe ambao kwa siku hizo watakuwa wakifanya shughuli ya kuapa mmoja mmoja. Fedha hizo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubani wa kutafuna wamtia matatani mtoto

Kituo kimoja cha televisheni KHQ-TV kimeripoti kwamba mtoto huyo mvulana alifikishwa mahakamani kwa kuiba paketi ya gamu/bigiji/chingamu/ au ubani wa kutafuna .

 

11 years ago

Mwananchi

Posho kutafuna mabilioni Hazina 2014/15

Wakati Serikali ikihaha kusaka fedha za kugharimia miradi ya maendeleo kwa mwaka ujao wa fedha, kumekuwa na shaka kuhusu uhalisia wa hesabu za matumizi zilizotengwa kwa ajili ya Ofisi ya Hazina.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kutafuna ubani ni haramu, wapi huko ?

Muanzilishi wa Singapore Lee Kuan Yew,aliyeaga dunia jumatatu aliharamisha utafunaji wa ubani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani