Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Posho kutafuna mabilioni Hazina 2014/15

Wakati Serikali ikihaha kusaka fedha za kugharimia miradi ya maendeleo kwa mwaka ujao wa fedha, kumekuwa na shaka kuhusu uhalisia wa hesabu za matumizi zilizotengwa kwa ajili ya Ofisi ya Hazina.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Posho yazua utata Black Stars

Ghana iko katika hali ngumu ya kujikwamua kiuchumi katika kambi yao nchini Brazil na inatakiwa kumaliza tatizo hilo kabla ya kuivaa Ujerumani katika mchezo wa Kundi G wa Kombe la Dunia mjini Fortaleza Jumamosi.

 

11 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ishu ya posho yamalizwa, Cameroon yaenda Brazil

Kikosi hicho, ambacho pia kinamjumuisha mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Samuel Eto’o, kiligoma kuondoka nchini humo juzi kutokana na tatizo la posho zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viapo kutafuna mil. 500/-

BUNGE Maalumu la Katiba litatumia zaidi ya sh milioni 500 kwa siku tatu kama posho za wajumbe ambao kwa siku hizo watakuwa wakifanya shughuli ya kuapa mmoja mmoja. Fedha hizo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchumi adaiwa kutafuna mamilioni

>Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Dodoma juzi lilimfukuza kazi Mchumi wa Manispaa hiyo, Isack Kissa kwa tuhuma za wizi wa mamilio ya fedha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubani wa kutafuna wamtia matatani mtoto

Kituo kimoja cha televisheni KHQ-TV kimeripoti kwamba mtoto huyo mvulana alifikishwa mahakamani kwa kuiba paketi ya gamu/bigiji/chingamu/ au ubani wa kutafuna .

 

9 years ago

Habarileo

Adaiwa kutafuna fedha zilizochangwa na wazazi

POLISI wilayani Kahama mkoani Shinyanga inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Kilima A, Simon Soka kwa tuhuma za wizi wa Sh milioni 3.6 zilizochangwa na wazazi ili kukarabati jengo na ununuzi wa madawati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kutafuna ubani ni haramu, wapi huko ?

Muanzilishi wa Singapore Lee Kuan Yew,aliyeaga dunia jumatatu aliharamisha utafunaji wa ubani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani